Blackberry ombi la msaada

ablood8

Senior Member
Aug 12, 2010
181
90
Jamaa wadau naomba naeombeni msaada blackberry yangu Bold 9780 mpya nimenunua,ila ina tatizo la kujizima na kujiwasha,mwenye ujuzi anijuze!
 
Ujafafanua tatizo la simu yako vizuri.

Je inajizima mda wote au ni kila baada ya 10/30 au baada ya mda gani.


Je kuna software yoyote umeingiza hivi karibuni?

BB yako ina run OS ipi?
 
Inajizima muda wowote tu haina formula maalumaa,software sijui ila kuna ile niliyonunua nayo simu inaitwa blackberry desktop software ndo nili update nayo.
Pia kuna jamaa aliniingiazia whatsApp bas kuhusu OS sijakuelewa kamanda.
 
Iridishe ulikonunua mkuu vinginevyo imekula kwako.

Sent using Tapatalk 2
 
Jamaa wadau naomba naeombeni msaada blackberry yangu Bold 9780 mpya nimenunua,ila ina tatizo la kujizima na kujiwasha,mwenye ujuzi anijuze!
umeinunua na kukuta ina hilo tatizo au kuna kitu umeinstall ndio ikaanza kujizima?

Mara nyingi ni tatizo la os, piga chini kwa ku upgrade au downgrade then upgrade tena
 
Jaribu kui upgrade kwa kutumia desktop manager(computer yako ikiwa conected na internet) kama tatizo litaendelea ata baada ya kuiupgrade then itakuwa ni hardware problem hapo utaitajika kuipeleka kwa fundi au kama ina warranty rudisha ulipoinunua wakupatie replacement
 
Inajizima muda wowote tu haina formula maalumaa,software sijui ila kuna ile niliyonunua nayo simu inaitwa blackberry desktop software ndo nili update nayo.
Pia kuna jamaa aliniingiazia whatsApp bas kuhusu OS sijakuelewa kamanda.

Hapo penye red, inawezekana kabisa ndipo tatizo lilipoanzia maana version yingine za Operating System(OS) nyingine aziko stable na zinakuwaga na bugs nyingi tu kama inavyotokea kwenye simu yako sasa.....Nakushauri u-
downgrade OS yako na kurudisha iliyokuwepo...

Download OS 6 ambayo ni stable sana na inakaa na charge sana tofauti na OS7.unaweza kuipata hapa....
https://swdownloads.blackberry.com/...sionid=42FED5A3FD761C14DF042889A46213FC.node1
 
Jaribu kui upgrade kwa kutumia desktop manager(computer yako ikiwa conected na internet) kama tatizo litaendelea ata baada ya kuiupgrade then itakuwa ni hardware problem hapo utaitajika kuipeleka kwa fundi au kama ina warranty rudisha ulipoinunua wakupatie replacement

Mkuu nashukuru kwa ushauri nitairudisha
 
Jaman pia mim nina blackberry yangu tatizo lake kuna mtu milimwachia akawa anachat kwenye net sasa ikazima yenyewe af now nikiwasha ina load inafka sehem haiendelei kabisa kuna firmware nilidownload ila nikiconnect kwenye PC hai detect kabisa mana haiwaki ikamaliza
 
wakuu namie tatizo langu ni network inakaa sos mda wote, nimemaliza njia zote mpaka kuapgred but bado, nahisi kama inahusiana na hardware so inawezekana kutengenezeka kweli?
 
Mnara wa network unapanda mpaka juu..?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jaman pia mim nina blackberry yangu tatizo lake kuna mtu milimwachia akawa anachat kwenye net sasa ikazima yenyewe af now nikiwasha ina load inafka sehem haiendelei kabisa kuna firmware nilidownload ila nikiconnect kwenye PC hai detect kabisa mana haiwaki ikamaliza

Ipeleke kwa mtaalam ikaflashiwe hiyo..


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom