Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Ni mtandao gani hapa TZ unatoa huduma bomba za blackberry internet?
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.Ni mtandao gani hapa TZ unatoa huduma bomba za blackberry internet?
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.
Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.
Inaonyesha mashine zao zinaendelea kukalukuleti figures kwahiyo usiwe na wasiwasi bili bado inaandaliwa.
Je ninawezaje kutumia BlackBerry yangu kama modem kwenye laptop?
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.
Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.[/QUOTE]
acha uchakachuaji kalipe bill yako mkuu
Ni PM BB PIN yako nikuadd kwenye BlackBerry Messenger.
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.
Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.
Hii ndo service gani tena?
ndio unaweza kutumia
Jibu lako halisaidii mkuu ungeweka bayana how can you use your connect bb on BIS as a modem. Thanks.
Kwenye blackberry kuna kitu kinaitwa PIN hii ni unique id kila blackberry inayo unaweza kumadd mtu kwenye blackberry messenger bbm na mkawa mnashare files, songs na chatting yaani bbbm ni kama msn messenger au zaidi ya msn messenger.
Once ukianza kutumia blackberry phones huwezi kutumia simu nyingine unless unatumia kwa kupiga na kupokea simu tu.
the same na maelezo hayajitoshelezi
si kweli ukitumia bb utoweza kuacha na kutumia cm ingine me nilishatumia sana lakini ss natumia samsung ila napenda zaidi nokia
Mkuu hapo kwenye rangi ya Msimbazi sijakupata hata chepe..unamaanisha hiyo BB yako inakuwezesha kujikuta upo Ulaya? au Kumaa.aanisha unaweza kuangalia YOUTUBE Video kupitia BB Service ya Voda?? Kwa Mtandao kama TIGO BB Service haikuwezeshi kuingia hata kwenye Blackberry Application world ukiload kwenye "BlackBerry Application" inaku prompt " BB World App is not available in your country"...
Tafadhali ufafanuzi.
Hapo vp?
Labda lugha niliyoitumia imekukwaza Mkuu anyway vipi nitatumia Blackberry iliyo na BIS Blackberry Internet Service kama modemu/kingamuzi cha kuperuzi mtandao kwenye laptopu/ kumputa ya kupakatwa?
Inategemea ulikuwa unatumia Blackberry yako vipi mkuu, mfano mimi marafiki na ndugu zangu wanatumia BlackBerry Messenger nina contact ya watu kama 75. Unaweza kufanya konferensi kwenye bbm chat, kutuma clips, nyimbo na picha. Unapokea e mail kama meseji ya simu inavyoingia. Unaweza kudownload nyimbo, clips na voice notes. Ukiwa na unaweza kujipima joto kwa kubonyeza namba 9*7 unaweka kwenye paji la uso then unabonyeza Y. Au kupima temperature ya ndani ya nyumba yako kwa kubonyeza 6++ usipige simu na baada ya dakika tatu bonyeza L ili kujua temperature.
Sawa drphone?