Blackberry internet

yote inatoa ila 2 ndio bomba zaidi voda na airtel unalipia kwa mwezi unlimited mkuu
 
Mimi nimetumia Zantel ikawa inanikorofisha most of the time inakuwa down nzuri ni airtel natumia mpaka sasa na matatizo ni mara chache sana speed nzuri na huduma yake ni unlimited. Ni PM BB PIN yako nikuadd kwenye BlackBerry Messenger.
 
Ni mtandao gani hapa TZ unatoa huduma bomba za blackberry internet?
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.

Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.
 
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.

Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.

Inaonyesha mashine zao zinaendelea kukalukuleti figures kwahiyo usiwe na wasiwasi bili bado inaandaliwa.

Je ninawezaje kutumia BlackBerry yangu kama modem kwenye laptop?
 
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.

Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.[/QUOTE]

acha uchakachuaji kalipe bill yako mkuu
 
mimi niko voda. unalipia ile 35 kwa mwezi, unakula unlimited access 24/7 na ukiunganisha simu yako kwenye pc kama modern, speed yake ni kubwa kuliko moderm yoyote.

Ulipia hiyo balck bery service na kubadili simu kwa kutumia Samsung smart phone zake za android au bada, utajiona uko ulaya, ni speed kubwa ya ajabu, unaangalia tv dunia nzima au U-Tube very clear kwa HD ikiwa ndio simu pekee mpaka sasa yenye HD video stream!.
Japo zoezi hilo nimelifanya Desemba yote mpaka sasa bili haijaja, nitaangalia kama kuna tofauti ya bili, kwa kawaida bili huja kabla ya tarehe 10, tunaenda 20 no bili, au labda mashine zao zimetusahau!.

Mkuu hapo kwenye rangi ya Msimbazi sijakupata hata chepe..unamaanisha hiyo BB yako inakuwezesha kujikuta upo Ulaya? au Kumaa.aanisha unaweza kuangalia YOUTUBE Video kupitia BB Service ya Voda?? Kwa Mtandao kama TIGO BB Service haikuwezeshi kuingia hata kwenye Blackberry Application world ukiload kwenye "BlackBerry Application" inaku prompt " BB World App is not available in your country"...

Tafadhali ufafanuzi.
 
Hii ndo service gani tena?

Kwenye blackberry kuna kitu kinaitwa PIN hii ni unique id kila blackberry inayo unaweza kumadd mtu kwenye blackberry messenger bbm na mkawa mnashare files, songs na chatting yaani bbbm ni kama msn messenger au zaidi ya msn messenger.

Once ukianza kutumia blackberry phones huwezi kutumia simu nyingine unless unatumia kwa kupiga na kupokea simu tu.
 
Kwenye blackberry kuna kitu kinaitwa PIN hii ni unique id kila blackberry inayo unaweza kumadd mtu kwenye blackberry messenger bbm na mkawa mnashare files, songs na chatting yaani bbbm ni kama msn messenger au zaidi ya msn messenger.

Once ukianza kutumia blackberry phones huwezi kutumia simu nyingine unless unatumia kwa kupiga na kupokea simu tu.

si kweli ukitumia bb utoweza kuacha na kutumia cm ingine me nilishatumia sana lakini ss natumia samsung ila napenda zaidi nokia
 
the same na maelezo hayajitoshelezi


Labda lugha niliyoitumia imekukwaza Mkuu anyway vipi nitatumia Blackberry iliyo na BIS Blackberry Internet Service kama modemu/kingamuzi cha kuperuzi mtandao kwenye laptopu/ kumputa ya kupakatwa?
 
si kweli ukitumia bb utoweza kuacha na kutumia cm ingine me nilishatumia sana lakini ss natumia samsung ila napenda zaidi nokia

Inategemea ulikuwa unatumia Blackberry yako vipi mkuu, mfano mimi marafiki na ndugu zangu wanatumia BlackBerry Messenger nina contact ya watu kama 75. Unaweza kufanya konferensi kwenye bbm chat, kutuma clips, nyimbo na picha. Unapokea e mail kama meseji ya simu inavyoingia. Unaweza kudownload nyimbo, clips na voice notes. Ukiwa na unaweza kujipima joto kwa kubonyeza namba 9*7 unaweka kwenye paji la uso then unabonyeza Y. Au kupima temperature ya ndani ya nyumba yako kwa kubonyeza 6++ usipige simu na baada ya dakika tatu bonyeza L ili kujua temperature.

Sawa drphone?
 
Mkuu hapo kwenye rangi ya Msimbazi sijakupata hata chepe..unamaanisha hiyo BB yako inakuwezesha kujikuta upo Ulaya? au Kumaa.aanisha unaweza kuangalia YOUTUBE Video kupitia BB Service ya Voda?? Kwa Mtandao kama TIGO BB Service haikuwezeshi kuingia hata kwenye Blackberry Application world ukiload kwenye "BlackBerry Application" inaku prompt " BB World App is not available in your country"...

Tafadhali ufafanuzi.

Hapo vp?
 
Labda lugha niliyoitumia imekukwaza Mkuu anyway vipi nitatumia Blackberry iliyo na BIS Blackberry Internet Service kama modemu/kingamuzi cha kuperuzi mtandao kwenye laptopu/ kumputa ya kupakatwa?

aijanikwazwa ila nilikujibu kulingana na maelezo yako
so ni hivi kwenye laptop yako inabidi uwe na bb desktop maneger ambayo itakuwezesha kulink na pc na bb yako
 
Inategemea ulikuwa unatumia Blackberry yako vipi mkuu, mfano mimi marafiki na ndugu zangu wanatumia BlackBerry Messenger nina contact ya watu kama 75. Unaweza kufanya konferensi kwenye bbm chat, kutuma clips, nyimbo na picha. Unapokea e mail kama meseji ya simu inavyoingia. Unaweza kudownload nyimbo, clips na voice notes. Ukiwa na unaweza kujipima joto kwa kubonyeza namba 9*7 unaweka kwenye paji la uso then unabonyeza Y. Au kupima temperature ya ndani ya nyumba yako kwa kubonyeza 6++ usipige simu na baada ya dakika tatu bonyeza L ili kujua temperature.

Sawa drphone?

mkuu yote unayosema ya messenger yapo kwenye cm nyingi tu na kwa ufanisi zaidi wengi wanachukia bb pamoja na mm kwa ajili ya application zake azipo friendly sana kama nokia,samsung nk ni hayo tu alafu ucsahau me ni dr wa hayo mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom