Wandugu naweza kupata wapi data cable ya blackberry kwa hapa Tanzania niliyokuwa nayo niliisahau kwenye mgahawa wa internate na niriporudi kuangalia tena ikawa ni hadithi ya zilipendwa,Blackberry yenyewe ni Storm 9500,au kama kuna data cable inayoingiliana na aina hiyo ya simu na pia kama kuna universal cable tafadhali mniambiwe naweza kupata wapi na bei yake ni kiasi gani,
Thx
Thx