Jf members, kuna duka (money link) liko mtaa wa samora huko dsm linasifika kwa kusafirisha hela za kigeni kwenda nje ya nchi na hakuna trtb sawia zinazofuatwa, wwnye data zaidi plse wekeni hasa nyie wakaaz wa bongo . Nimesikia hata ukitaka kupeleka hela afghanistan is click of second., hapa suala la source hakuna ww fuatilia then utaelewa mm subashbhai nasema kweli au la. Ss wahindi natumia sana kupeleka pesa mumbai