The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Anaonaekana wa masaki tabia za kiswazi
Nilivyoona title nkajua ombi lake umelikubali...
Lol
Amewahi kumiliki degree 3 , na umri ni mdogo!
Hence side effects yake ndiyo hiyo!
Zinamchanganya.
Watu sampuli hii wana vioja vingi , mf. Waweza mkuta anatembelea viatu vya Yeboyebo au Ndala zilizochoka ilhali hom kaacha mipair ya boots mingi aliyotokanayo Ulaya.
Dawa yao ni maombi tu.
labda kama atakubali kuwa bwana shamba walaji wengine
labda kama atakubali kuwa bwana shamba walaji wengine
Hahahaaaaa Na anatakiwa kutoa Elimu yote ya ukulima.
Anaonaekana wa masaki tabia za kiswazi
kama kawa na bwana shamba yeye lakini wavunaji wengine
Thread za Bishanga zimeanza kuniboa nyingi mnooooo
Oooohh sory kama nimekukwanza