Duh!
Yangu macho,
Hahahahahaaaa hapa huwezi komaa kwa Bishanga tuSmiling Saint na Erickb52, ntawapoteza sehemu zenu.
Teh tehBabu ODM anasoma nyuzi 360.
Ha ha , hata wewe hunisomi?
Ngoja aje naniliyu anisome.
Teh teh
Utashangaa zimefikia nyuzi -4
Hahahaaaa unaanza kujiuma uma eeeh
subiri aje Asprin hapa, ndo atagundua Bepari la Kihaya limemzidi maarifa..... Na kupinduliwa kwa asali wake....
Atakuwa mdogo kama piriton loh!!!!!
Mie ni asali wa ODM, masega wa Bishanga, sukari wa Rejao.
Ila nina husband mmoja tu.
Niliona wakati wa birthday ya The Boss alikuwa anajipendekeza sasa sijui ndio Mumewe?hahhaaa husband ndo 'mzinga' au?
Na nyuki ni nani?
Maana naona asali na masega tu hapo loh!!!!!!!
Sasa mwambie asiende tena kule hakumfai labda afanye kwanza mazoezi ya kula mirungibishanga ni kama mlenda, labda nikomae kwa ulimi yaani huwa haruki kabisa hapa kwangu.
Nimemtoa ICU baada ya kupigwa huko Mchele Ltd.
Smiling Saint na Erickb52, ntawapoteza sehemu zenu.
Dogo nalalaah ha ha haha h
1. kwa kosa lipi?
2. TUNAYE MUNGU MKUBWA SANA
I am not Mrs Saint Ivuga. Mbona mnachanganya mambo?Dogo nalala
Ukimuona dogo mwenzio BAGAH Mtei One Mtalingolo,ma wife Amyner,Shemeji sweetlady,shemeji Cantalisia,
Shangazi/Mjomba Kongosho la kuku,Babu Asprin,Mrs SI Mwali na mumewe Saint Ivuga BADILI TABIA Preta,
wasalimie sana na watakie usiku mwema.......
Regards
b52
I am not Mrs Saint Ivuga. Mbona mnachanganya mambo?
I am not Mrs Saint Ivuga. Mbona mnachanganya mambo?