Byshernger, popote ulipo tambua kuwa senene ulioniachia nimewatunza hadi utakaporudi.
Ni kitu gani kilikupata ulipohamia Unga Ltd?
Njoo nitakupeleka Mchele LTD, kitu gani unga bana.
Nimekumiss sana!
Hata huko hakumfai....mpeleke Mihogo Ltdmchele ltd hakumfai...
Mpeleke pizza limited
ni matunda anayoyapenda bishanga
yamenikuta!
Kesho nashuka na uzi mmu,title:
'nimekoma kulamba wake za watu',
stay tuned namhangaikia mgonjwa icu!
Shibungi havifui dafu kwa utaalamu wangu wa kutunza vyakula.
Dah hata dizi anazipenda
dizi?!!!!! .........
mh! sasa na huko amashasha ltd, huko amezoea saaaaaaaana, labda ujaribu ​michembe ltd
Kwani bk wanaziitaje??
Mwambie Bishanga aseme 'Ngombe' au Ndizi
Nlikua sijui!! ...ngoja aje kudhibitisha mwenyewe.
hata huko hakumfai....mpeleke mihogo ltd