Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
Skin tight,unaogopa nini love?
Nataka nijiachie vizuri dear.. Hili alosema secretary ni kama mechi kaiweka uwanjani.. Najua kuna kikosi maalum cha kupinga hilo.
Skin tight,unaogopa nini love?
Halafu wewe una cheat na kongosho.
hahaha mamito hilo nalo neno!
Heheheee mi nataka vyakula laini yanini pilau linichafue tumbo?Kwenye CV ya mapenzi mie CEO, wewe umezoea kula wafagiaji.
Utaweza vya kuchinja wewe????
Hata mie siwezi wapa pilau nililopika kwa ufundi watoto walimwage wakati wakubwa wenzangu wanaoweza kulila kwa ufundi wapo tele.
He he he he, lako hilo babuee.
hiyo hat yako mbona umeigawa vipande vipande sana,
kwanza mrudishe The Boss haraka najua umemhifazi
kwenye chupa hata haonekani tena, we mtoto mbona
una mambo/
Heheheee mi nataka vyakula laini yanini pilau linichafue tumbo?
Unanipenda?
Kwenye CV ya mapenzi mie CEO, wewe umezoea kula wafagiaji.
Utaweza vya kuchinja wewe????
Hata mie siwezi wapa pilau nililopika kwa ufundi watoto walimwage wakati wakubwa wenzangu wanaoweza kulila kwa ufundi wapo tele.
He he he he, lako hilo babuee.
Mhe, Byshanger nimelazimika nikukubali ama kwa kutaka ama kwa kutotaka!
Na sababu ya mi kua hivyo ni kwa namna ulivyojibu mapigo chumba baada ya chumba. Hata hivyo kuna habari zilizokwishathibitishwa, kua kupotea kwao jana jioni kwenye huu Uzi, na hatimae ukaufanya Uzi kua mrefu kiasi hiki.
Habari zinasema hiyo jioni ya jana ULIKUA UNASUTWA FCBK. ndiyo kusema baada msuto wa fcbk sasa unasutwa Jf, mkubwa hizi habari zina ukweli?
Au unasingiziwa?
Mambo bby
ni kweli nilienda kumtoa huko
Teh utashangaa ninavyokula konaKumbe wewe mzenji?
Vyakula laini una heshima tena kweli?
Lazima heshima yako ya usiku imeshuka sana.
Unakunywa uji utaweza marathoni?
Pole zao.
ni kweli nilienda kumtoa huko
MabwakuHee! MAbig
kumbee ?
Sasa si atakua amebakiza Twitter tu ?
Au nako tayari nini?
Hiyo ni salamu ya wapenzi, tena walokwisha kuwa pamoja?? Are you serious Erick?? Lol