Mopao Josee
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 280
- 1
Nadhani ulimi hauna mfupa
Happy Bday all,msiutamani hata kidogo UFISADI!!!1
Happy Bday all,msiutamani hata kidogo UFISADI!!!1
Congrats an happy belated b'day. inabidi next yera Mungu akituweka hai tutafutane siku hiyo wote tulio bongo au mnasemaje
Nakumbuka tarehe hii dada yangu alimaliza chuo kikuu na kufariki tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo 28/09/1998 marehemu aisha msemo. Alifariki tanga na kuzikwa tanga alimaliza chuo mwaka 98, Bsc Eng. Chuo kikuu cha dar es salaam.
Namuombe huko aliko akae mahala pepa peponi
amina
Nakumbuka tarehe hii dada yangu alimaliza chuo kikuu na kufariki tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo 28/09/1998 marehemu aisha msemo. Alifariki tanga na kuzikwa tanga alimaliza chuo mwaka 98, Bsc Eng. Chuo kikuu cha dar es salaam.
Namuombe huko aliko akae mahala pepa peponi
amina
Ni mimi, mwalimu wa ngumbaru; mapafu yamejaa vumbi la chaki