... Mimi naona inafaa tu, tena kwa watoto ndiyo muhimu kwa saaana.
... Tusipowafanyia hivi watoto, ni sherehe gani nyingine zinazowahusu wao tuwajumuishe?!- Kumbukumbu ya siku ya kupata uhuru, mapinduzi ya Zanzibar, au mafisadi kufikishwa mahakamani na kuachiwa huru?!!!
... Birthdays are a perfect celebration moments, particularly for kids to connect with their peers as they grow and appreciate the magnificence of life, its value and adventures.
kuna 'mjomba-angu' ananiambia ni kuonyesha ufahari!..............
Lakini inapokuja unakodi ukumbi mkubwa na mbwembwe za magari kama harusi, nadhani hapo ndo watu wanaanza kuona kama unataka kuonesha ufahari.
Kwangu mimi naona birthday haina umuhimu wowote ule.
Na sioni mantiki ya kufanya birthday nikiwa kama mzazi sioni umuhimu wake maana sherehe ya kufurahi na mtoto wangu nae anajisikia ni x-mass, new year, pasaka na Idd
Kwangu mimi naona birthday haina umuhimu wowote ule.
Na sioni mantiki ya kufanya birthday nikiwa kama mzazi sioni umuhimu wake maana sherehe ya kufurahi na mtoto wangu nae anajisikia ni x-mass, new year, pasaka na Idd
Mimi ni bora nisherehekee birthday na new year kuliko hizo nyingine. Naona hazihusiani na chochote kwangu mimi kama mwafrika ambaye bado naabudu imani/dini za mababu zangu wa kiafrika za miaka 300 iliyopita!
Mkuu kama unadumisha tamaduni za mababu zako sikumbuki kama kweli walikuwa wanasherekea birthday au kama walikuwa wanaazimisha kumbukumbu ya kuzaliwa hizi kwa vile umekuwa katika mazingira ya kizungu zungu ndo umeyaona na umeyaiga.
Mkuu kama unadumisha tamaduni za mababu zako sikumbuki kama kweli walikuwa wanasherekea birthday au kama walikuwa wanaazimisha kumbukumbu ya kuzaliwa hizi kwa vile umekuwa katika mazingira ya kizungu zungu ndo umeyaona na umeyaiga.
Mkuu kama unadumisha tamaduni za mababu zako sikumbuki kama kweli walikuwa wanasherekea birthday au kama walikuwa wanaazimisha kumbukumbu ya kuzaliwa hizi kwa vile umekuwa katika mazingira ya kizungu zungu ndo umeyaona na umeyaiga.
...swadakta!!
...na hilo ndilo nililolenga!
...xmas na pasaka tulijitengenezea sisi wabantu?!
hehehehe mababu walilazimishwa lakini hawakulazimishwa kwenye birthday
We hua unazidumisha!?
Umewahi kwenda kutambikia mizimu walau mara moja kwa mwaka?
Hii mkuu sana tu mwezi July naenda huko tena ni bonge la sherehe.
Iwa tunaenda tunakusanyika ukoo mzima mbuzi, ng'ombe, kondoo, kuku iwa wanapoteza shingo yaani ni bonge la party na kusafisha makaburi ya mababu zetu. Hii iwa naipenda sana kule kijijini maana inakuwa bonge la sherehe