Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Is it really possible duniani humu mtu uwe na marafiki 'wa kweli' zaidi ya wawili watatu? kama ni acquitances sawa lakini 'friends' mh!Maane, Kumbuka usemi wa "usikatae wito.........." Paroko ni mtumishi wa Mungu hivyo ni ktk kufuata matendo ya bwana wetu Yesu kristu aliyewaambia mafarisayo kuwa" Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu".
Pili watu walioalikwa na EL ni marafiki zake hata kabla hajapata matatizo ya kashfa je wataanzaje kumsusa leo awapo kwenye matatizo na pengine anawahitaji isivyo kawaida. Pia kumbuka "rafiki ni yule akujua hata uwapo ktk matatizo".