Tehe tehe teheee!tetesi nilizozipata A-Town, hiyo licha ilikuwa birthday lakini pia ilikuwa mahsusi kwa mafisadi kujipongeza kwa mambo yaliyojili pade Dodoma kwenye vikao vya chama kwa kuweza kumbana spika Sitta
Tehe tehe teheee!tetesi nilizozipata A-Town, hiyo licha ilikuwa birthday lakini pia ilikuwa mahsusi kwa mafisadi kujipongeza kwa mambo yaliyojili pade Dodoma kwenye vikao vya chama kwa kuweza kumbana spika Sitta
JK ndio kwanza anaingia Dar..... kutokea?????
Happy birthday EL our next presidaa...2015
Hapa basi kwishne picha tumeliona na star tumenjua!!
Ni kweli kwamba Mkuu wa Nchi alikuwa Mkoani Arusha Jana,alikwenda Wilayani Longido kuangalia hali ya Ukame,na baadaye Jioni alirudi mjini Arusha,ambako aliwaandalia waumini wa Kiislamu Futari,Hakuna habari ya kwamba alikwenda Monduli kwenye Sherehe ya kuzaliwa Mbunge Lowassa,Baadhi ya viongozi walioambatana na Rais walikwenda kwenye sherehe hiyo,Lakini Rais alibaki Ikulu ndogo Arusha.
msijali, mungu alikuwa na wananchi wa longido ambao wanakufa njaa kilomita chache toka mahali lowasa alipokuwa naponda raha kwa mvinyo na nafaka na kutupia mbwa makombo! Mungu amemwona lowasa akiiba toka kapu la maskini hawa ndo maana amempa maisha marefu ili ashuhudie mwenyewe anguko lake na mafisadi wenzake! Bwana wa majeshi atawaibisha na kushambaratisha umoja wenu
Na habari za uhakika Mwakalinga yuko London since last week,natafuta namba yake ya mkononi ya UK niitundike hapa atakayetaka aongee naye.Ni kweli kwamba Mkuu wa Nchi alikuwa Mkoani Arusha Jana,alikwenda Wilayani Longido kuangalia hali ya Ukame,na baadaye Jioni alirudi mjini Arusha,ambako aliwaandalia waumini wa Kiislamu Futari,Hakuna habari ya kwamba alikwenda Monduli kwenye Sherehe ya kuzaliwa Mbunge Lowassa,Baadhi ya viongozi walioambatana na Rais walikwenda kwenye sherehe hiyo,Lakini Rais alibaki Ikulu ndogo Arusha.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,aliyekuwepo kwenye mnuso atajwe alikuwepo ambaye hakuwepo basi hakuwepo na asisingiziwe otherwise,vinginevyo tutapoteza nia njema na malengo mazuri ya jamvi tukufu la JF.Sawa kabisa Mkuu, bahati mbaya nilikuwa safarini sikuweza kupata mtandao huku kijijini, ndio kwanza niko makao makuu ya wilaya nimeomba net mahala. Habari ni kwamba Mkuu hajakanyaga katika hiyo sherehe pamoja na kualikwa sana na habari za kwenda kwake zikaenezwa sana na kila mtu alijua atakwenda. Mtu mmoja alisema kwamba hata ziara yake Arusha imetengenezwa mahsusi ili aweze kwenda lakini wajanja wake wakaandaa ratiba ya futari. Kilichotokea ni kwamba EL hakutokea katika ziara ya mkuu pamoja na wafuasi wake kuwapo katika ziara na wengine katika futari na badaye kuchomoka na kwenda Monduli. JK hakuwapo kabisa katika sherehe ya mchana na hata ya usiku.
Mtoa habari aliyekuwapo sherehe zote amesema, hajamuona kabisa na kwamba anashangaa wanaotangaza hivyo walikuwa na nia ya kuwakatisha tamaa watu fulani fulani. Haya tutaona na kusikia mengi mwaka huu.