Biriyani

zayat

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
337
42
biriyani msosi wa nguvu

attachment.php

 

Attachments

  • biriani.JPG
    biriani.JPG
    39.7 KB · Views: 471
Kuna Msukuma alioa binti wa Kidigo wa Tanga sasa baba yake akaja kutoka Misungwi binti akampikia biriyani mzee akala baada ya muda akauliza chakula kitakuja saa ngapi ? akimaanisha ugali,ye alidhani lile biriyani ni la kupunguza njaa wakisubiri mlo wa ukweli hahaha!
 
jmn biriyani tamu sn hasa ukute limewekwa na pilipili daaah ucpime
 
Kuna Msukuma alioa binti wa Kidigo wa Tanga sasa baba yake akaja kutoka Misungwi binti akampikia biriyani mzee akala baada ya muda akauliza chakula kitakuja saa ngapi ? akimaanisha ugali,ye alidhani lile biriyani ni la kupunguza njaa wakisubiri mlo wa ukweli hahaha!

Acha uwongo wako wewe! Nenda Tinde wasukuma wanalima sana mpunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom