Kuna Msukuma alioa binti wa Kidigo wa Tanga sasa baba yake akaja kutoka Misungwi binti akampikia biriyani mzee akala baada ya muda akauliza chakula kitakuja saa ngapi ? akimaanisha ugali,ye alidhani lile biriyani ni la kupunguza njaa wakisubiri mlo wa ukweli hahaha!
nalitamani kwenye shughuli zetu zileee za uswazi...maisha haya jamani
uswazi hoyeeee!We..,uswazi sahani inatua chini nyeupe tayari,acha mchezo wako fasta.
Oyeeee! Uswazi fo laifuuswazi hoyeeee!