shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Tafadhali wanaJF kama kuna mtu ana-experience tatizo kama la kwangu na amelitatuaje. Binti yangu ana miaka 13 sasa na anakojoa kitandani almost everyday. Hili tatizo sasa linamuathiri kisaikolojia kwa kuwa amekuwa mkubwa sasa. As you know hapa kwenye hii nchi iliyouzwa kila kitu ni blah blah hospitalini, nisaidieni manake sasa siwezi kusubiri tena manake waliniambia akikua ataacha, sasa ameshaota na matiti sijui akue nini tena