Binti wangu wa kazi ni mjamzito; nifanyaje?

Pole sana.

Kosa ulilofanya ni kutompa 'induction' kuhusu maisha yako na matazamio yako kwake.
Ongea nae, muulize nani muhusika. Kama ni mdogo wako angalia jinsi ya kumuwajibisha kama ni kwa kumtafutia kibarua ili aanze kulea familia. Lakini husisha wazazi wenu. Kama ni kijana wa mitaani, ongea na wazazi wa binti ili wakushauri uwasaidieje kuwajibisha mkwe wao mtarajali. Mchuma janga hula na wa kwao, binti arudi kijijini akaanze maisha ya utu uzima.

Next time wifi yangu, ukipata maid hakikisha ana miaka 18+. Mpe somo kuhusu ukimwi, kubakwa na jinsi ya kujilinda (mfano ukaribishaji wa watoto wa kiume nyumbani wakatinwewe haupo ni recipe ya kubakwa na ukimdaka kazi hana). Mie humueleza maid hata mwenzi wangu ama ndugu yangunakikutaka niambie nitakulinda, na namaanisha. Napenda niwe boss rafiki, so any challenges unaweza kushare. Ila sumu ya nyumba hii ni mimba, ukidaka tuuu unarudi kwenu ukaanze kujitegemea kama kwa kilimo ama vipi. Hapo unakuwa na almanac yabkueleweka, yakitokea mnafanya reference. Namuhofia juu ya ukimwi zaidi kuliko mimba.

Bonge la ushauri pongezi kwako mkuu.
 
Karibia mwezi umeisha msichana wangu akilalamika juu ya kuumwa na tumbo. Kazi yangu inanifanya niwe on the road almost 25 days of the month; hivyo amekuwa akienda hospt mwenyewe. Kama majuma mawili yaliyopita, alinifuata chumbani huku akilia akisema anaumwa sana, akaniletea cheti cha hospt, nikakuta amepimwa vipimo vingi including VDRL which was non reactive, ila mkojo ulikuwa na a lot of pus cells. Aliandikiwa sindano (sikumbuki jina) kama 7 hivi lakini alichomwa 5 na wakambadilishia dawa na kumpa ma Doxy ambayo yalimshinda kwani si mlaji mzuri, kwa kuwa nilikuwa nasafiri; nikamwambia aache hizo dawa anisubiri mpaka nitakaporudi.

Nimerudi juzi, jana nikampeleka govt hosp; majibu ya mkojo na vaginal swab yalikuwa okay, again VDRL was unreactive; walivyomwangalia uke (alikuwa analalamika ana vidonda) wamesema it is okay???; baadaye dr akaandika afanyiwe utra sound kuangalia pelvic infection, ndio natoka kwenye utra sound, matokeo ni kazygote ka 8 weeks.

Sijaongea naye chochote, na honestly sijui cha kuongea naye. Ni binti ambaye nimekaa naye kwa miaka kama 4 hivi, kitu ambacho nina uhakika nacho ni kuwa siwezi lea mtoto wake; kwani kazi yangu sio friendly na parenthood. Kingine ninacho ogopa ni the fact kuwa ndani ya miezi hiyo miwili alikuwepo mdogo wangu wa kiume aliyekuja field; huenda walijioa ninavyokuwa safarini.

Nishaurini ndugu zangu how do l first start councilling her, halafu namuulizaje kuhusu huyo aliyemmimba na mwisho ninamsaidiaje?

New updates
Wakati tunakula, ameanzisha maongezi yeye mwenyewe kwamba wali unamshinda. Nikapata nafasi ya kuanza kumuuliza kiutani (huwa ninamtania) kwamba ni nani mwenye bahati; akaguna. Kisha nikamuuliza huyo mtu ameshajua, akanod; nikamendelea kumprobe amesemaje, akainama huku machozi yakimlenga; nikamuuliza amekwambia muitoe? akasema ndio.
Nikamuuliza kwanini, akasema hajajiandaa na kwamba anaishi kwao bado (ni dreva wa mtu binafsi).

She is into deep thinking naye anawazia kuitoa, kisa hataweza kufanya kazi na hivyo ataishije. Baada ya kuongea naye sana, anasema mama wa huyo kijana ni nurse; nimemwambia nikirudi nitaongea naye, lkn bado ni mnyonge nafikiri akili yake kubwa iko kwenye kuutoa huo ujauzito. Ngoja niendelee kumcouncil, nipo naye hapa chumbani ananiuliza kwani akitoa atakufa.

Pole sana, ukubwa jiwe. Sasa mama naomba sana, usijihusishe kwenye kutoa mimba au kushauri kutoa. Ni dhambi ambayo kwa sasa huwezi ona madhara yake ila kwa baadae itakuwa inaclick kwenye kila unachofanya.

Nionavyo mimi, kaa nae mpaka ajifungue, au mrudishe kwa wazazi wake. Hakuna aliye mwema hata mmoja, watapiga kelele sana na maneno mengi, end of the day wanalo na limewaganda.

Mpe matumaini, muombe Mungu akupe mwongozi. Ila usithubutu kutoa au kumshauri kutoa hiyo mimba.
 
Karibia mwezi umeisha msichana wangu akilalamika juu ya kuumwa na tumbo. Kazi yangu inanifanya niwe on the road almost 25 days of the month; hivyo amekuwa akienda hospt mwenyewe. Kama majuma mawili yaliyopita, alinifuata chumbani huku akilia akisema anaumwa sana, akaniletea cheti cha hospt, nikakuta amepimwa vipimo vingi including VDRL which was non reactive, ila mkojo ulikuwa na a lot of pus cells. Aliandikiwa sindano (sikumbuki jina) kama 7 hivi lakini alichomwa 5 na wakambadilishia dawa na kumpa ma Doxy ambayo yalimshinda kwani si mlaji mzuri, kwa kuwa nilikuwa nasafiri; nikamwambia aache hizo dawa anisubiri mpaka nitakaporudi.

Nimerudi juzi, jana nikampeleka govt hosp; majibu ya mkojo na vaginal swab yalikuwa okay, again VDRL was unreactive; walivyomwangalia uke (alikuwa analalamika ana vidonda) wamesema it is okay???; baadaye dr akaandika afanyiwe utra sound kuangalia pelvic infection, ndio natoka kwenye utra sound, matokeo ni kazygote ka 8 weeks.

Sijaongea naye chochote, na honestly sijui cha kuongea naye. Ni binti ambaye nimekaa naye kwa miaka kama 4 hivi, kitu ambacho nina uhakika nacho ni kuwa siwezi lea mtoto wake; kwani kazi yangu sio friendly na parenthood. Kingine ninacho ogopa ni the fact kuwa ndani ya miezi hiyo miwili alikuwepo mdogo wangu wa kiume aliyekuja field; huenda walijioa ninavyokuwa safarini.

Nishaurini ndugu zangu how do l first start councilling her, halafu namuulizaje kuhusu huyo aliyemmimba na mwisho ninamsaidiaje?

New updates
Wakati tunakula, ameanzisha maongezi yeye mwenyewe kwamba wali unamshinda. Nikapata nafasi ya kuanza kumuuliza kiutani (huwa ninamtania) kwamba ni nani mwenye bahati; akaguna. Kisha nikamuuliza huyo mtu ameshajua, akanod; nikamendelea kumprobe amesemaje, akainama huku machozi yakimlenga; nikamuuliza amekwambia muitoe? akasema ndio.
Nikamuuliza kwanini, akasema hajajiandaa na kwamba anaishi kwao bado (ni dreva wa mtu binafsi).

She is into deep thinking naye anawazia kuitoa, kisa hataweza kufanya kazi na hivyo ataishije. Baada ya kuongea naye sana, anasema mama wa huyo kijana ni nurse; nimemwambia nikirudi nitaongea naye, lkn bado ni mnyonge nafikiri akili yake kubwa iko kwenye kuutoa huo ujauzito. Ngoja niendelee kumcouncil, nipo naye hapa chumbani ananiuliza kwani akitoa atakufa.


Pole sana, anyway yatapata suluhisho. Ila naona binti alikufuata chumbani! Mmmhhh.. tena wakati wa kula ukamtania! inamaanisha mnatanianaga!.?... usijali sana ila uchunguzi wa swala hili utakuwa mpana kidogo, hautaishia kwa huyo nurse (mama wa msababishaji). Take courage
 
Pole sana, ukubwa jiwe. Sasa mama naomba sana, usijihusishe kwenye kutoa mimba au kushauri kutoa. Ni dhambi ambayo kwa sasa huwezi ona madhara yake ila kwa baadae itakuwa inaclick kwenye kila unachofanya.

Nionavyo mimi, kaa nae mpaka ajifungue, au mrudishe kwa wazazi wake. Hakuna aliye mwema hata mmoja, watapiga kelele sana na maneno mengi, end of the day wanalo na limewaganda.

Mpe matumaini, muombe Mungu akupe mwongozi. Ila usithubutu kutoa au kumshauri kutoa hiyo mimba.

Hapo colored, aisee dhambi nilizonazo ni za kuzidi; sina mpango wa kuongezea zingine au kwa ushauri wala kwa kumfacilitate akiue hicho kiumbe. Niece wangu alitaka kutoa mimba nikamshauri akaikeep yaani ninavyompenda mjukuu wangu, he is so cute and sweet; naye ananipenda nafikiri kuliko hata mama yake!

Kumtunza naweza mtunza mpaka say end of trimester ya pili lakini baada ya hapo anahitaji closer supervision ambacho sikiwezi hata kama ningependa. Na ndio maana sikai na mtoto wangu coz sina muda kabisa!
 
Kama umri wake ni zaidi ya miaka kumi na nane , Nakushauri ukubali kujipatia mjukuu, mpe faraja na Moyo ili mawazo ya kuitoa yaondoke kichwani mwakeIkiwa na wa chini ya umri stahiki, sheria ichukue mkondo wake
 
Duuh mpe pole na ajiandae kulea mtoto..kama baba yake alishadai kutoa hapo iko kazi
 
kAKA PICHA PLEASE INAWEZEKANA IKAWA NI MIMBA YANGU HIYO SASA KABLA SIJACHANGIA NINGEONA KWANZA PICHA YAKE
 
ili kiwe nini?acha kufanya masiksahara na vitu vya msingi!

wewe unaona masihara lkn huwezi juwa pengine ndugu yangu ama uja uzito ni wa kwangu maana huwezi kujua. Ungeweka picha ingekuwa bora zaidi
 
bora ajifungue tu bwana... Huo ni mbaraka kwakua hata mtoto amekubali...
 
kwanza mkuu unakaa na bint wa kazi wakati hujaoa!? acha kuzunguka hiyo mimba ni yako na ukijichanganya umwambie atoe halafu akakataa then akazaa nakuambia huyo mtoto atakua kama mwarabu fighter so akisimuliwa mchongo mzima,,, mzee baba kipigo utachopata kitakua ni cha mbwa koko
 
Back
Top Bottom