Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 243
usizungumzie magonjwa ... nk wewe zungumzia mimba na raha ya kuwa na mtoto, zaidi. na kujua nani baba. zungumza sana either wewe ilivyofurahia wakati wa mimba ya kwanza, au namna unavyotamani mtoto... angalia linalofanana na anavyokujua, japo unachosema si kweli, unatakiwa tu umuweke kwenye mazingira ambayo utamuokoa. kumuonyesha usoni kuwa unamuonea huruma alivyopotea, ataogopa na atajiuliza kama boss mwenye "mijihela" na uzoefu anaogopa, je mimi? anaweza hata kubwia dawa humo ndani.. si unajua bongo, kila dawa ipo duka la dawa, akisema dada amenituma anapewa tu hata kana dozi ni X10, alimradi amelipaThanks again Kindimbajuu, nitaongea naye leo ngoja nimbembeleze ale, maana ulaji wake umekuwa shida sana!