Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
dah! Ada ya Shule imetulia
na inamwaaaaaaaaainahuuuu!!!
Nawashangaa watu mnachokonoa maisha ya watu badala ya nyie kutafuta hela muwasomeshe watoto wenu shule za bei gali!!
Very guuud
Atakuwa anapata elimu nzuri aje kusadia TAIFA LAKE TAnzania
Binti mwingine wa Rostam anayesoma South Africa Ramla Rostam Aziz...
Soma attached PDF hapo for Academic fees and other associated costs in Swiss Franc
Sio ela zake , ni ela za walipa kodi wa ktz , ambazo amezichukua kwa njia za kifisadiKwani mtu kutumia hela zake kumsomesha mwanaye kuna shida gani?