Binti wa Miaka 5 Afariki kwa Ukimwi!!! Nani wa Kulaumiwa??!!

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
745
23
Mambo wana JF,mitambo ilinipoteza kidogo nimerudi kama kawa jamvini!!!

Ni juzi tumetoka kumzika Binti wa miaka 5 ambaye kifo chake kimetokana na maambukizi ya VVU, Kinachosikitisha zaidi wazazi wa huyu Binti wamepima mara 10 baada ya kugundua Binti yao mpendwa ana maambukizi ya VVU ili wajue kama walimwambukiza wao.

Cha kushangaza wote hawakuwa waathirika,baada ya uchunguzi wa kina ikagundulika aliyemwambukiza ni HOUSEGIRL wao!!!! Huyu HOUSEGAL anasema alikuwa akitumia wembe kukata kucha kwa bahati mbaya akajikata, baadae yule Binti nae akchukua the same wembe akawa anauchezea akawa kajikata.

Hivyo ndo alivyoambbukizwa Binti huyu VVU hadi mauti ikamfika!!!Pls wazazi sijui 2tawalinda vipi watoto wetu kutokana na huu mkasa coz 2nakuwa bizzy kuanzia asubuhi hadi jion. Naomba maoni yenu JF!!!! Pamoja
 
Hizi kesi zipo nyingi sana houseboy kamwambukiza mtoto ukimwi,
housegirl kambaka mtoto wa kike na kumwambukiza ukimwi.
Tumuombe mungu tu atusaidie katika hili.
Hatuwezi kuacha kazi na kukaa home kuchunga watoto muda wote
watakwenda kucheza pia
 
Hii si mara ya kwanza kwa haya mambo kutokea tulisikia huko kenya watoto wote wafamilia waliambukizwa na house girl ukimwi.
Wazazi wengi wamepoteza vijana wao wa kiume kwa ukimwi through kuambukizwa na ma house girl.
Pia nyumba nyingi zimeingia katiaka maambukizi through baba kutembea na house girl.
Si semi ma house girl tu ndio wano eneza ukimwi , isipokuwa huwa tuna wachukua hawa watu bila kujua historia yao ya nyuma.
Na wengi wa mahouse girl wanamaisha duni so huwa wanajikuta wakitumika bila kujali sana afya zao na ukimwi kwa ujumla ili tu waweze kupata riziki zao..
Kuna umuhimu wa kujua historia za hawa watu kabla hujawafanya sehemu ya familia yako ni watu muhimu sana kwa familia.
 
Hadi pale housemaids watakapochukuliwa kama ajira nyengine tatizo halitakwisha
 
Ooh mungu wangu.
Sa zingine waajiri wanawafanya housegirls wawe na roho mbaya.
Hebu muwapende kama mnavyowapenda watoto wenu.
 
Lakini hii issue inavyoonekana ni bahati mbaya coz House girl alisahau ule wembe!!
Pia inawezekana hakuwa aware kama alikuwa mwathirika!!!

Ooh mungu wangu.
Sa zingine waajiri wanawafanya housegirls wawe na roho mbaya.
Hebu muwapende kama mnavyowapenda watoto wenu.
 
Lakini hii issue inavyoonekana ni bahati mbaya coz House girl alisahau ule wembe!!
Pia inawezekana hakuwa aware kama alikuwa mwathirika!!!

Kazi ya childcare nje ya nchi ina taratibu ngumu na sio kama tunavyotaka kuchukua sisi bongo. Cha bure gharama wakuu.

Tungelifuata taratibu za kazi ya childcare basi tungehakikisha kunafanyika health check ups na pia mafunzo ya kukaa na mtoto
 
Ni habari ya kusikitisha ila tuangalie nini cha kufanya.

Na 1 - Wakati tuna hire house girl/boy inabidi kuwapima nafikiri

Upande wa kushare hizi tools inabidi iwe culture. Mfano mimi hapa binti yangu wa miaka nane alikataa ku share nail cutter na mimi sababu amefundishwa shule vitu ambavyo hatakiwi ku share. Nafikiri huu utamaduni ni vizuri tuka urisisha kwa watoto. Bali kuna issue nyingine ya vinyozi nafikiri kila mtoto anahitaji kuwa na mashine yake.
 
Ni habari ya kusikitisha ila tuangalie nini cha kufanya.

Na 1 - Wakati tuna hire house girl/boy inabidi kuwapima nafikiri

Upande wa kushare hizi tools inabidi iwe culture. Mfano mimi hapa binti yangu wa miaka nane alikataa ku share nail cutter na mimi sababu amefundishwa shule vitu ambavyo hatakiwi ku share. Nafikiri huu utamaduni ni vizuri tuka urisisha kwa watoto. Bali kuna issue nyingine ya vinyozi nafikiri kila mtoto anahitaji kuwa na mashine yake.

Sidhani kama ni haki kumpima housemaid bila ya kuwa na mkataba wa kazi unaonyesha makubaliano yenu mengine

Kazi ya uyaya tumeishusha thamani wenyewe na haya ndio matokeo yake.

Hivi mnajua kuwa Kwenye nchi za Kimagharibi, wanafunzi wa chuokikuu wanafanya uyaya as a part time job?

Kwetu unadhani kwanini mayaya wengi karibu ya wote hawamaliza hata form four?
 
So inamaanisha 2check elimu zao na sio kucheck AFYA??

Sidhani kama ni haki kumpima housemaid bila ya kuwa na mkataba wa kazi unaonyesha makubaliano yenu mengine

Kazi ya uyaya tumeishusha thamani wenyewe na haya ndio matokeo yake.

Hivi mnajua kuwa Kwenye nchi za Kimagharibi, wanafunzi wa chuokikuu wanafanya uyaya as a part time job?

Kwetu unadhani kwanini mayaya wengi karibu ya wote hawamaliza hata form four?
 
So inamaanisha 2check elimu zao na sio kucheck AFYA??

Utampima afya kwa misingi ipi? Watu wa haki za binaadamu utawaeleza nini?

Iwapo kutakuwa na mikataba ya kazi kisheria utakuwa na haki ya kujua afya yake lakini sio kumpima afya kwa kuwa tu hajui haki zake.

Tukichukua maids wenye elimu ya kutosha hata uelewa wao utabadilika kwenye mambo mengi lkn tatizo linakuja kwenye mshahara, hatutaki kulipa vizuri kwa hiyo tunakhiari kuchukua asiyesoma kabisa
 
Hapo nimekupata!! Thanks GAIJIN

Utampima afya kwa misingi ipi? Watu wa haki za binaadamu utawaeleza nini?

Iwapo kutakuwa na mikataba ya kazi kisheria utakuwa na haki ya kujua afya yake lakini sio kumpima afya kwa kuwa tu hajui haki zake.

Tukichukua maids wenye elimu ya kutosha hata uelewa wao utabadilika kwenye mambo mengi lkn tatizo linakuja kwenye mshahara, hatutaki kulipa vizuri kwa hiyo tunakhiari kuchukua asiyesoma kabisa
 
Hizi kesi zipo nyingi sana houseboy kamwambukiza mtoto ukimwi,
housegirl kambaka mtoto wa kike na kumwambukiza ukimwi.
Tumuombe mungu tu atusaidie katika hili.
Hatuwezi kuacha kazi na kukaa home kuchunga watoto muda wote
watakwenda kucheza pia

Huyo h/g anambaka mtoto wa kike kiaje! au msagaji?
 
Back
Top Bottom