Mhmmm!!! Kipipi upo bibie?
Niende wapi ndugu, mi nipo tu!
Niende wapi ndugu, mi nipo tu!
yeye sio kitongaBidada ulivyojaaliwa uso mkavu! Sijui niseme wa-mbuzi! Hoja ziko juu hapo umezilia kabbnyau!
Kama huzioni vile! Pm ya mleta mada ikawaje ..........
Mhmmm!!! Huoneakani ndugu yangu....umeamidimika kama mkojo wa kuku.
Nilikuwa busy na mambo mengine ndugu, kung'ang'ania mtandaoni kila siku napo kuna gharama zake ati!!
Bidada ulivyojaaliwa uso mkavu! Sijui niseme wa-mbuzi! Hoja ziko juu hapo umezilia kabbnyau!
Kama huzioni vile! Pm ya mleta mada ikawaje ..........
Haya bwana...But i hope u mzima wa afya.