denim kagaika
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 228
- 31
Chukua maksi aka shusha masongi ya kihindi mpaka sauti ikauke..
Duh kweli JF balaa.. Hilo duka ni computronix huyo dada nadhani ni tabia yake. Anawaminyia jicho ili mshindwe kunegotiate bei tu nothing more!!
Jamaa atakuwa keshanunua hard disc zisizo na kazi zaidi ya kumi na atakuwa kafirisika tayari kuminywa kidole tu sasa akikukonyza jicho kisha akuambie ana shida ya million mbili si utaenda kuibaDuh kweli JF balaa.. Hilo duka ni computronix huyo dada nadhani ni tabia yake. Anawaminyia jicho ili mshindwe kunegotiate bei tu nothing more!!
Kivipi? Sijakuelewa Kongosho!
Hapo kwenye Red huwa nasikia sana hizo story ingawa sina uhakika kama zina
ukweli please kama kuna mtu ana ushahidi kuwa imewahi kutokea ni vizuri akitufahamisha.
Anauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua
External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono
wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi
wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa
kumuondoa mawazoni imeshindikana........ Yule akicheka kuna vishimo vile
kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau.
Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada.
Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Anauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Jitaidi kaka bt hao kuwapata ngumu kutokana na unyanyapaa wao kwa ngoz nyeusi na hata akikupenda yeye utaambulia ugirlfriend na boyfrnd 2. Ukijitaidi sana ni mate na kupewa tigo cause hao wanatakiwa waolewe wakiwa bikra.
Jitahidi kupeleka zawadi ya pilipili mara kwa mara.