Binti wa Keenja kortini kwa dawa za kulevya

Oyaa wakuu at least I am close to the person in question and her family and this is what I am reliably informed:

Huko ofisini kwake anakofanya kazi (She's a lawyer for a credit facilities company-jina kapuni) kuna supplier flani alikuwa terminated service yake kutokana na uzembe na kutokuabide as per contract.Baada ya hapo akaenda mahakamani na Agatha akaenda kuidefend kesi jamaa akashindwa kesi.

Huyo supplier hakufurahishwa na hicho kitendo. Anyway baada ya hapo wakawa wakikutana na Agatha na wanazungumza vizuri tu. Lakini kumbe mshikaji alikuwa na kinyongo....

Of recent Agatha alikuwa anauza gari yake na huyo jamaa akasikia kwamba Agatha anauza gari. Hiyo juzi akampigia simu Agatha akamwuliza vipi nasikia gari yako unauza ni kweli? Agatha akasema ndio nauza, basi huyo jamaa akaja na watu akasema ni wateja. Agatha akampa dreva wao funguo akamwambia wapeleke washikaji wakaicheki gari wakiipenda waje tuzungumze bei.

Dereva akawapeleka halafu baadae wakarudii wakasema gari wamaeipenda. Wakakubalia terms na baadae wakamwambia ziko wapi original docs? Agatha akasema zipo home ila nitazileta kama mko tayari kununua basi kesho warudi ili naye a draft mkataba na wao waje na hela ili transaction ifanyike.

Hao jamaa wakaondoka kwa makubaliano hayo. Walipoondoka tu wakaja watu ofisini kwa Agatha wakasema tuna suspect gari yako ina madawa ya kulevya.

Basi wakamchukua yeye na mfanyakazi mwenzie wakashuka chini na wakamwambia ingiza mkono chini ya seat ya dereva toa kilichopo kuingiza na kutoa basi wakakuta huo Unga.

Can see how fishy this was??????? Anywayz the truth will be revealed. Kama kuna mtu anadhani has some other facts to prove otherwise anaweza pia kuziweka hapa.

My take: Tujitahidi kutofautisha facts na opinions.
Mkuu Nyambala, ulichokisema ndicho kilichotokea. Ama kweli unamfahamu Agatha vyema. Nashukuru kwa kujitokeza mapema na kuweka ukweli hapa jamvini.

Inatakiwa tuwe makini na watu wenye visa kama hao wanafikia hata kumbambikizia mtu madawa ya kulevya kama ilivyotokea kwa Agatha. Itafika wakati tutaacha kuaminiana ili kuokoa heshima na kuwa salama zaidi. Ni wengi sana wanaopatwa na masahibu kama hayo.

Swali ninalojiuliza ni; Je, walikuwa na nia nyingine zaidi ya hiyo endapo wangefanikiwa kukutana nae? Maana kuna mifano ni mingi ya watu kuuawa, kumwagiwa tindikali n.k.
 
Wakuu!
Na mimi naombeni msaada hapo. Hivi hawa askari huwa wanapata wapi, au wanajuaje thamani ya mihadarati wanayoikamata? Kwani kuna soko maalum/rasmi ambako huenda kuulizia?

Dah,inasikitisha sana wakuu,visasi gani hivi vya kuharibiana sifa/majina kwa jamii..Inabidi Polisi waliohusika kumkamata Agatha(kama kweli kabambikiwa hayo madawa) wawajibishwe ikiwa ni pamoja na kuwakamta hao watu waliojidai wanataka kulinunua hilo gari wabanwe na waeleze ni wapi walikozipata hizo dawa za kulevya.Hii inaonesha ni jinsi gani baadhi ya Askari wa jeshi letu la Polisi wasivyokuwa waadilifu na jinsi wanavyochangia kwa kasi kukua kwa biashara haramu ya mihadarati.

Kamanda Shekiondo(Mkuu wa kikosi cha kupambana na Mihadarati) masikio yetu yametegeshwa kwako,tunasubiri kusikia nini mtafanya juu ya Askari hawa iwapo ni kweli watabainika kumbambikia kesi mbaya kabisa mtu asiye na hatia.Pia Askari hawa watakusaidia kujua ni wapi dawa hizo zimepatikana…Inasikitisha na inauma sana
 
Hakika ukweli utadhihiri na sheria itachukua mkondo wake.
Tuwe na subra
 
Mkuu Nyambala, ulichokisema ndicho kilichotokea. Ama kweli unamfahamu Agatha vyema. Nashukuru kwa kujitokeza mapema na kuweka ukweli hapa jamvini.

Inatakiwa tuwe makini na watu wenye visa kama hao wanafikia hata kumbambikizia mtu madawa ya kulevya kama ilivyotokea kwa Agatha. Itafika wakati tutaacha kuaminiana ili kuokoa heshima na kuwa salama zaidi. Ni wengi sana wanaopatwa na masahibu kama hayo.

Swali ninalojiuliza ni; Je, walikuwa na nia nyingine zaidi ya hiyo endapo wangefanikiwa kukutana nae? Maana kuna mifano ni mingi ya watu kuuawa, kumwagiwa tindikali n.k.


asante sana ndugu yangu umeongea maneno mazuri sana
hujafa hujaumbika
 
Oyaa wakuu at least I am close to the person in question and her family and this is what I am reliably informed:

Huko ofisini kwake anakofanya kazi (She's a lawyer for a credit facilities company-jina kapuni) kuna supplier flani alikuwa terminated service yake kutokana na uzembe na kutokuabide as per contract.Baada ya hapo akaenda mahakamani na Agatha akaenda kuidefend kesi jamaa akashindwa kesi.

Huyo supplier hakufurahishwa na hicho kitendo. Anyway baada ya hapo wakawa wakikutana na Agatha na wanazungumza vizuri tu. Lakini kumbe mshikaji alikuwa na kinyongo....

Of recent Agatha alikuwa anauza gari yake na huyo jamaa akasikia kwamba Agatha anauza gari. Hiyo juzi akampigia simu Agatha akamwuliza vipi nasikia gari yako unauza ni kweli? Agatha akasema ndio nauza, basi huyo jamaa akaja na watu akasema ni wateja. Agatha akampa dreva wao funguo akamwambia wapeleke washikaji wakaicheki gari wakiipenda waje tuzungumze bei.

Dereva akawapeleka halafu baadae wakarudii wakasema gari wamaeipenda. Wakakubalia terms na baadae wakamwambia ziko wapi original docs? Agatha akasema zipo home ila nitazileta kama mko tayari kununua basi kesho warudi ili naye a draft mkataba na wao waje na hela ili transaction ifanyike.

Hao jamaa wakaondoka kwa makubaliano hayo. Walipoondoka tu wakaja watu ofisini kwa Agatha wakasema tuna suspect gari yako ina madawa ya kulevya.

Basi wakamchukua yeye na mfanyakazi mwenzie wakashuka chini na wakamwambia ingiza mkono chini ya seat ya dereva toa kilichopo kuingiza na kutoa basi wakakuta huo Unga.

Can see how fishy this was??????? Anywayz the truth will be revealed. Kama kuna mtu anadhani has some other facts to prove otherwise anaweza pia kuziweka hapa.

My take: Tujitahidi kutofautisha facts na opinions.

Thanks Nyambala;

If this is true, then huyo supplier ni criminal na he needs to be behind bars!!! He has no divine rights to be a vendor to any business, huo pia ni ufisadi wa hali ya juu...

Yaani anakosa utu kiasi cha kutaka mwenzake awekwe jela miaka!!
 
Tusubiri uamuzi wa mahakama PLSE do not jump into conclusion.
Je! kama hicho kiasi ndicho kilichobaki baada ya kuuza mtajuaje?
msimhukumu mtu kutokana sura yake/KWA KUMWANGALIA otherwise mafisadi wangekuwa na sura ya kutisha.

Do you really trust our legal system???

Kumbuka kuna mwanazuoni mmoja alisema sign ya corrupt legal system ni rich lawyers and too many pending cases
 

Mkuu, watoto wa Keenja hawana matatizo yoyote. Ya Eliaisa yana maelezo ya kutosha. Na kama ukiyajua, wala huwezi kudhani kuna matatizo hata ya kiutendaji kama ambavyo unadhani.

Kuhusu Amani nae kuingia kwenye matatizo, sijui kama kunamaanisha lolote. Maana kila mtu ni mwanadamu kivyake. Ila tuombeane tusiingie matatizoni. Maana si yeye tu, hata mimi na wewe tunaweza kupatwa na matatizo kama hayo, bila kukusudia.

Niamini kwa hilo.

.....kinachonishangaza ni hizi coincidences........Amani (rafiki yangu na mdogo wangu) simuombei baya lolote........kama ananisoma vizuri na kama umenisoma vyema.........that was just a tahadhari........
 
na wasi2 amebambikiwa ktk handbag yake mbona ni kidogo sana hayo? huenda kuna visa na jamaa au hao maafande huyo binti ni msafi tu namjua
 
kaka yake ameachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi hope na yeye atatoka kwenye kesi hii
 
Mi nadhani kama mahakama inabalia kwamba zina bei hiyo, basi hana kosa kwa sababu ni mjasiriamali. ha ha ha ha
 
kaka yake ameachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi hope na yeye atatoka kwenye kesi hii
Masahihisho: Sio Kaka yake, bali ni Dada yake. Mahakama haikuona kosa lolote la kumtia hatiani.
 
Wakuu!
Na mimi naombeni msaada hapo. Hivi hawa askari huwa wanapata wapi, au wanajuaje thamani ya mihadarati wanayoikamata? Kwani kuna soko maalum/rasmi ambako huenda kuulizia?

Askari wafanyapo upelelezi huulizia bei kwa wanunuaji, wasafirishaji ama wauzaji wanaowakamata. Soko maalum lipo ila si kwa kila mtu.
 
MTOTO wa aliyekuwa Waziri wa Kilimo Bw. Charles Keenja, Bi. Aghata Keenja ameburutwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na makosa ya kukutwa na dawa za kulenvya kinyume cha sheria.

Mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu wa Wilaya Bi. Janeth Kinyage.

Bi. Keenja anatuhumiwa kwa makosa ya kupatikana na dawa za kulevya kinyume cha kifungu 12(d) cha sheria ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya.

Alidaiwa kuwa Oktoba mosi, mwaka huu katika mtaa wa Makunganya, Dar es Salaam alikamatwa na gramu 6.6 za dawa ya kulevya aina ya Heroini yenye thamani ya sh. 60,000. Hata hivyo mshitakiwa huyo alikana kutenda makosa hayo na upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.

Mshitakiwa huyo aliiomba mahakama kumpatia dhamana ambapo ilimtaka kuwa na wadhamini wawili wa kuaminika ambao watasaini dhamana ya sh. 500,000. Alitimiza masharti ya dhamana na kesi yake itatajwa tena Novemba 2 mwaka huu.
sishangai maana...
 
Back
Top Bottom