Mkuu FM,
Nadhani unafatilia bado hii habari.
Juzi nimesoma article furani sikumbuki gazeti gni ila Bint anaweza kushitakiwa mwezi wa kwanza ikiwa atakutwa na hati na ushahidi ukidhibitika.Stay tuned
Kushtakiwa nchi gani? Tanzania? Hiyo ni ngonjera tu! Nothing will happen. Tusubirie hiyo Januari kwa maandiko haya yatimie!