Binti mrembo wa ki-iraq

nimeipenda hiyo!!!yaeda au Dareda?mh usikasirike bwana!!!ila mlinitunza kijana wa watu!!!!UNANIKUMBUSHA MBALI WEWE!!CMSC,nikienda haydom,natulia hapo nilikuwa na toto la ukweli!!!!!ahhaaaa ntarudi tena mie!!!!!!!!

ulimaliza internship salama kweli ww?
 
Hivi reserach gani mnafanya mpaka "mnaconclude" kwamba kabila fulani ni malaya, na kuzipachika tabia zingine chafu karibu kabila zima?

Anyway nijuavyo mimi tabia chafu zipo kila sehemu duniani.

Hizi hukumu ni vizuri kama mngezielekeza kwa watu walio karibu yenu, kwa sababu ukichunguza kwa makini unaweza kuta wewe, dada yako, mama yako, shangazi au baba yako etc., ndio ****** kwisha kazi! Kama sivyo shukuru.
 
wa iraqw, warangi,wambulu, wanyaturu,wanyiramba ni kama jamii moja. Jf bana mpaka hapa sijui kama jamaaa ataoa tena,yaani mmesiliba mno.
 
wa iraqw, warangi,wambulu, wanyaturu,wanyiramba ni kama jamii moja. Jf bana mpaka hapa sijui kama jamaaa ataoa tena,yaani mmesiliba mno.

Duh hii kali nilikuwa sijui. Wewe siyo GT. No research no right to speak.
 
Unataka kuoa kabila?!!!!!! teh teh. Kuna washikaji wakiraqw walikwepa kuoa kabila lao leo wanajilaumu. wapo walioa wairaqw wenzao pia wanajilaumu. Tafuta mtu unayeenda naye kwa mapenzi ya Mungu.
 
Usisahau kufika Saayo kama mbali hata Sanu basi ni karibu na town ya Imbolu sawa??
Miaka miwili high school nilisoma pale imboru karibu na sanu seminary,teh teh sijui kama umesikia kuna
mtaa wanaita aya maami
 
wa iraqw, warangi,wambulu, wanyaturu,wanyiramba ni kama jamii moja. Jf bana mpaka hapa sijui kama jamaaa ataoa tena,yaani mmesiliba mno.

Ni bora kunyamaza kuliko kuonekana mjinga hiyo red ndo kabila gani???

Hakuna kabila hilo kwetu utakuja kusema Wababati, Wakaratu, Wadareda nk

Ujipange upya umechemsha na kusema makabila ya watu hovyooooooooooooooo
 
we unaoa kabila au msichana ..

Tuko bomba sana.
kila kona tumekamilika.
nini zaidi unataka kujua.

hii ni kwa matumizi ya baadayeeeee
chagua akupendae na ambaye anafaa kuishi nawe.
Kabila, sura, dini, sijuu miguu, uso, **** hayata kufikisha mbali..
asante

Ngoja nikuitie wengine wakusaidie, Dena Amsi, Preta, Nyamayao, Desi Dii.... nk

Niko na wewe mia kwa mia dada!
 
Miaka miwili high school nilisoma pale imboru karibu na sanu seminary,teh teh sijui kama umesikia kuna
mtaa wanaita aya maami

Nina hakika utakuwa umewahi kusali lile kanisa Katoliki la Imbolu ni kubwa hilo sijawahi ona aisee
 
Dasu doren orkee.

Nimesoma mengi yaliyoandikwa humu kuhusu binti wa Ki-Iraq, naomba nieleze hadithi fupi kuhusianisha na jinsi watu walivyowaelewa binti zetu. " Kuna vipofu fulani walikutana na tembo (aliyekufa) na kila mmoja wao akagusa sehemu fulani ya mwili wa tembo. Baadaye kila mmoja wa hao vipofu alielezea jinsi tembo alivyo: mwingine alisema kuwa tembo ni kama ngao (aliyegusa sikio) na mwingine akasema tembo ni kama nyoka mkubwa (yule aliyegusa mkonga)".

Kila mmoja wa wale vipofu alimwelezea tembo kutegemea sehemu aliyoigusa na hivyo ni ukweli kuwa yale waliyosema ni ukweli ila ni kipande tu cha ukweli kulingana na sehemu aliyoigusa. Kila kabila lina mazuri yake na mapungufu yake kutegemeana na utamaduni wake na mazingira yao. Mapungufu (yale ya kweli) ya dada zetu tuyachukue kama changamoto na nina imani watayafanyia kazi. Kwa yale mazuri yaliyotajwa wamshukuru Mungu.

Kitu kimoja ambacho ninapenda kutahadharisha ni kuwa wengine wametaja sifa zingine kadiri kila mmoja alivyokutana na mmoja wa binti hao hivyo siyo ukweli kwamba ukweli wote uko hivyo.
 
Dasu doren orkee.

Nimesoma mengi yaliyoandikwa humu kuhusu binti wa Ki-Iraq, naomba nieleze hadithi fupi kuhusianisha na jinsi watu walivyowaelewa binti zetu. " Kuna vipofu fulani walikutana na tembo (aliyekufa) na kila mmoja wao akagusa sehemu fulani ya mwili wa tembo. Baadaye kila mmoja wa hao vipofu alielezea jinsi tembo alivyo: mwingine alisema kuwa tembo ni kama ngao (aliyegusa sikio) na mwingine akasema tembo ni kama nyoka mkubwa (yule aliyegusa mkonga)".

Kila mmoja wa wale vipofu alimwelezea tembo kutegemea sehemu aliyoigusa na hivyo ni ukweli kuwa yale waliyosema ni ukweli ila ni kipande tu cha ukweli kulingana na sehemu aliyoigusa. Kila kabila lina mazuri yake na mapungufu yake kutegemeana na utamaduni wake na mazingira yao. Mapungufu (yale ya kweli) ya dada zetu tuyachukue kama changamoto na nina imani watayafanyia kazi. Kwa yale mazuri yaliyotajwa wamshukuru Mungu.

Kitu kimoja ambacho ninapenda kutahadharisha ni kuwa wengine wametaja sifa zingine kadiri kila mmoja alivyokutana na mmoja wa binti hao hivyo siyo ukweli kwamba ukweli wote uko hivyo.

Umesomeka vizuri wa kwetu!Lawo dook!
 
Back
Top Bottom