Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Keshakwambia yeye ni Mtoto Yatima,umeelewa sasa mkuu?kuna watu wako jela wamefungwa maisha
kuna watu wamepata ajali wamekuwa walemavu milele
kuna watu wamefukuzwa kazi na wana familia zinawategemea
kuna watu wanaugua magonjwa yasiyo na tiba
wewe unaogopa kupigwa kibuti? yaani hiko ni kitu cha kuwasimulia watu kuwa ni tatizo?