Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa dume nitakupa daladala 5, nyumba na million 50 za mtaji, akizaa jike nitakupa kiwanja, shamba na million 30. BINTI:- Je mimba ikitoka? BABA:- Nyamaza wee pumbavu! si atakupa nyingine..