Binti alotiwa mimba.....

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa dume nitakupa daladala 5, nyumba na million 50 za mtaji, akizaa jike nitakupa kiwanja, shamba na million 30. BINTI:- Je mimba ikitoka? BABA:- Nyamaza wee pumbavu! si atakupa nyingine..
 
hahahahaha baba kaona bonge la dili kashatoka maisha haya...hahahahaha
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa dume nitakupa daladala 5, nyumba na million 50 za mtaji, akizaa jike nitakupa kiwanja, shamba na million 30. BINTI:- Je mimba ikitoka? BABA:- Nyamaza wee pumbavu! si atakupa nyingine..
 
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa dume nitakupa daladala 5, nyumba na million 50 za mtaji, akizaa jike nitakupa kiwanja, shamba na million 30. BINTI:- Je mimba ikitoka? BABA:- Nyamaza wee pumbavu! si atakupa nyingine..

job true true aisee...
 
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa dume nitakupa daladala 5, nyumba na million 50 za mtaji, akizaa jike nitakupa kiwanja, shamba na million 30. BINTI:- Je mimba ikitoka? BABA:- Nyamaza wee pumbavu! si atakupa nyingine..

Tehe, Tehe!
Huyo mzee atakuwa ni mpalestina wa machame tuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom