Bado huyu jamaa wa Bagamoyo
unamaanisha baba mwanaasha?
JK anachekelea kwa kupata safari. Lazima leoleo anatia tim lilongwe nakusubiria mpaka siku ya mazishi. Hongera mzee wa ma trip.
Duh! Kuna utabiri niliwahi kuusoma hapa JF!! Narudi baadaye, natafuta ukweli Kwanza!!
R.I.P Mutharika. Kikwete jiandae hii ni asili ya binadamu.
Jamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanii acheni kujitafutia laaaanaaa toka kwa mungu kwa kuwaombea watu vifo, mtatubu wapi.
Usihukumu kabla ya kuhukumiwa.
Ningependa hili litokee Tanzania !
Utabiri wa TB JOSHUA WATAMIA ALISEMA BAADA YA MIEZI MIWILI KUNA RAIS ATAKUFA
Bado huyu jamaa wa Bagamoyo
Hii ni habari njema na zawadi ya Pasaka kwa watu wa Malawi, bado nanihii................