Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Kila siku ukiangalia mada zinazorushwa hapa JF dhidi ya Rostam Aziz zinalenga zaidi kwenye chuki. Imepelekea hadi baadhi ya watu kusahau kwamba huyu jamaa ni mwanadamu kama tulivyo sisi. Wengi wametoa proposal ya kumuua wakidhani ndo suluhu ya ufisadi hapa nchini, na wengine wamediriki kumu-associate na scandals ambazo hata hakuna proof kwamba ni jinsi gani huyu jamaa alivyo facilitate.
Binafsi naona watanzania badala ya kutibu maradhi kwa kutambua ile root cause tunakimbilia kutibu dalili (symptoms). Hivi hujawahi kujiuliza maswali kwamba endapo ikitokea leo hii tunapata taarifa zenye kuthibitishwa ya kwamba Rostam Aziz na washirika wake wameuwawa, Je, ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini??? La hasha nachelea kusema ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini. Hiyo itakuwa ni temporary relief na Akina Rostamu wengine wengi tu wataibuka endapo tutaendelea kubakia na mfumo dhaifu wa kiutendaji.
Binafsi ninamkubali sana huyu jamaa msomi naesikia ni graduate wa havard university na ambaye baadhi ya watanzania wanadai sio raia. Endapo itakuja kudhibitika ya kwamba the guy was behind EPA, Kagoda, Meremeta, Richmond, Dowans etc nitazidi kuwa inspired na huyu jamaa. Na mpaka sasa ninamuona huyu jamaa ni zaidi ya ma-professor wangu walionifundisha kule university, ni zaidi ya madaktari, ma-engineer,lawyers ...na ni zaidi ya wataalamu wote kwenye sector yeyote uijuayo hapa Tanzania.
The other way around ni kwamba sisi watanzania ndo tunaojiroga, haiwezekani tunaendelea kupalilia na kuumwagilia maji mfumo ambao tunaujua ni wa kishenzi kwa miaka yote huku tukiishia kusemasema pembeni bila kuchukua hatua.
Kwangu mimi Katiba ndo suluhu wa yote.
Binafsi naona watanzania badala ya kutibu maradhi kwa kutambua ile root cause tunakimbilia kutibu dalili (symptoms). Hivi hujawahi kujiuliza maswali kwamba endapo ikitokea leo hii tunapata taarifa zenye kuthibitishwa ya kwamba Rostam Aziz na washirika wake wameuwawa, Je, ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini??? La hasha nachelea kusema ndo itakuwa mwisho wa ufisadi hapa nchini. Hiyo itakuwa ni temporary relief na Akina Rostamu wengine wengi tu wataibuka endapo tutaendelea kubakia na mfumo dhaifu wa kiutendaji.
Binafsi ninamkubali sana huyu jamaa msomi naesikia ni graduate wa havard university na ambaye baadhi ya watanzania wanadai sio raia. Endapo itakuja kudhibitika ya kwamba the guy was behind EPA, Kagoda, Meremeta, Richmond, Dowans etc nitazidi kuwa inspired na huyu jamaa. Na mpaka sasa ninamuona huyu jamaa ni zaidi ya ma-professor wangu walionifundisha kule university, ni zaidi ya madaktari, ma-engineer,lawyers ...na ni zaidi ya wataalamu wote kwenye sector yeyote uijuayo hapa Tanzania.
The other way around ni kwamba sisi watanzania ndo tunaojiroga, haiwezekani tunaendelea kupalilia na kuumwagilia maji mfumo ambao tunaujua ni wa kishenzi kwa miaka yote huku tukiishia kusemasema pembeni bila kuchukua hatua.
Kwangu mimi Katiba ndo suluhu wa yote.