Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,390
Unaju maana ya theory, nachelea kugeuza hii thread kuwa mjadala kati yenu na mimi ninayefikiri using several knowledge lakini I come up with my own understanding and argumenta nachelea sana copy vya wengine na kuvipaste. Can you test that theory? Unapokuwa mfuasi wa idea ya mtu sio upokee kila kitu bali na wewe pia sio unasoma 2+2=4 uliza ni kwanini nne sasa naona kama unaleta theories untested
Hivyo vitu ninavyokuambia ushavisikia maishani mwako kwanza au ndiyo unavijua leo, maana kama Julius anavyoonesha inawezekana sio tu huelewi, bali inawezekana huwezi kuelewa.
Hizi theories nyingine bado zinaitwa "theory" kwa sababu katika sayansi hamna 100% na sayansi iko centred on skepticism.
Ukitaka kuelewa maana ya neno "theory" in its broadest sense soma "The Greatest Show on Earth: The Evidence for Evolution " cha Richard Dawkins, although frankly speaking I seriously doubt you have the intelligence to fully appreciate it and even if you can I doubt your psychological baggage will let you admit the clarity it provides. Ungekuwa unaelewa what is "The theory of relativity" and how ridiculous it sounds to dispute it just because it is called a theory ungeelewa. Basically unataka kubisha jiwe likirushwa litaanguka chini kwa sababu tu jina la hii phenomena limeanza na "theory"
Elewa "scientific theory" ina standards na kuweza kuwa na meaning tofauti na the word "theory" in english.
Hebu soma wiki ya hili swala hapa kwanza
[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Scientific_theory[/ame]
Sasa kati yangu mimi nianyequestions thousands of years of religious dogma, na kuangalia vitu vilivyo peer reviewed na kuvi review mwenyewe nani ana cut and paste?
Mimi mwenyewe ni bonge wa critic wa sayansi, na ukiniambia ni cut and paste utakuwa hunitendei haki, lakini kwenye swala la evolution/ creation kama evolution ina kinks za ku work out, creation is an outright lie, kwa sababu hakuna mungu na binadamu hakuumbwa as far as I am concerned, lakini ninaweza kudemonstrrate evolution, natural selection na survival of the fittest in action kama nilivyoonyesha katika post # 78.
By the way post # 78 unaikimbia bado, hujaipa majibu, si wewe tu, wewe na wenzako wote wenye mawazo medieval kama wewe.