Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,754
Human walikuwepo before Adam huji historia ndio maana bible ina makosa ya kiuandishi zaidi ya 1,000 kuna kitabu kinachoelezea watu kabla ya Adam na Ile Mijitu mikubwa iliyoitwa nefili ambayo mingi haikufa baada ya gharika ya nuhu maji yaliwafika magotini tu... na ndio walimsaidia Nuhu kujenga safina... majamaa yalikuwa magiant haswa na yalizaliwa kwa mchanganyiko wa binadamu na Malaika walioitwa Watcher baada ya mapenzi walizaliwa hao nefili hakika hujui Story zao Huyo Kain alipomuua Abel alienda nchi inayoitwa Nod akatanga tanga na akaoa huko huko watu waliokuwepo nje ya bustani ya eden hilo nalo hulitambui... Pole Sana... Adamu hakuwa mtu wa Kwanza bali aliwekwa aishi bustanini hiyo ya Eden... Tafuta jinsi vitabu vya biblia vilivyokusanywa na walioviandika na vilivyo wekwa kwenye biblia na visivyowekwa kwenye biblia... ndio utajua kuwa Adam was not a first man in this word and Cain sio mtu wa kwanza kucomit mauaji