kandere
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 313
- 213
Kwa hio ww unataka kuniambia sio mwa-africa. Kama ni mwa-afrika basi pole na wewe.Wabongo tumekuwa watu wa ajabu kwa kuamini kila kitu tumeletewa na wazungu na ninaamini hata leo akitokea mzungu halafu aseme wao ndo walileta waafrika kuna waafrika wengi watakaomsapoti yaani tupo pabaya mno kwa kuendelea kujazwa ujinga na hawa wazungu na kuwaamini inashangaza eti mtu kusema kuwa hakuna mungu eti ni imagination tu yaani daah poleni sana waafrika
But siamini ktk Uzungu, Naamini yupo Muumbaji halisi, ambaye ni Mungu.
Neno la Mungu ndio uthibitisho wa kile ninachoamini.
Bible ilikuepo toka ma-million ya miaka iliopita.
Na vizazi vyote vitapita lakini Bible itakuepo