Zabron Erasto
Member
- May 29, 2011
- 47
- 3
Binadamu kwa matendo na hulka yake ya uovu hupenda kufanya matendo ya kifisadi dhidi ya binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba haiwezekani akaishi muda mrefu kuweza kuyafaidi vyema matunda ya ufisadi wake. Je! wewe unasimama na wazo lipi?