DON SINYORI
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 511
- 417
- Thread starter
- #21
kwahyo mtu anaedai hela nyingi zaidi duniani ndiye tajiri wa kwanza duniani?Huyo ni binadamu anayedaiwa hela nyingi duniani...
kwahyo mtu anaedai hela nyingi zaidi duniani ndiye tajiri wa kwanza duniani?Huyo ni binadamu anayedaiwa hela nyingi duniani...
ye ndiye anadaiwa sasa alipe hyo hasaraTatizo mkuu, umetumia dhana ya hasi na chanya -+, huyo sio maskini hata chembe bali ameingiza hasara tu
kwa mfano huo mkuu basi chukua kile anachomiliki toa anachodaiwa,anachobaki nacho ndio net wealth yakeDah.. Kweli ulaya ulaya tu.. Maskini yuko soap soap hivi.. Ana suti kali, simu na mazagazaga kibao.
Deni ni jambo la kawaida na wala deni si kigezo cha umaskini, kuna watu wanadaiwa m 200 lakn ana mjengo wake, anakula na familia yake, watoto xcul wanenda, sasa utasemaje huyo ni maskni kisa anadaiwa.. Sio maskini huyo bhana, msituektie maisha
pengine ukiulizwa binadamu maskini kuliko wote duniani,moja kwa moja ungevuta picha ya omba omba wa barabarani pengine au maskini walioko vijijini n.k
lakini ukweli ni kwamba hao si maskini kuliko wote duniani. rejea hesabu za hasi na chanya. je kati mwenye 0 na mwenye -10 nani mwenye nyingi?
JEROME KERVIEL (37 )raia wa UFARANSA ndio amethibitika kuwa ndiye binadamu maskini zaidi kwani ana deni la EURO 4.9 BILIONI(TRILIONI ZAIDI YA 10). Deni hilo ni kutokana na hasara aliyoisababishia BENKI ya SOCIETE GENERALE alipoajiriwa kama BANKER ya huko Ufaransa katika mambo ya bet.hivyo mahakama ikamuamuru alipe hasara hiyo.
alitoroka na kuingia italia ambapo baadae alijisalimisha baada ya kuzungumza na raisi HOLLANDE wa ufaransa. alihukumiwa miaka mitatu jela lakini aliachiwa baada ya miezi mi5
View attachment 388020 View attachment 388021 View attachment 388022[/QU
ana nauli ya kutoka ufaransa hadi itali na pesa za kula na malaza,mwisho ana simu na ana hela ya kuweka vocha ampigie raisi!duh kweli maskini wapo!!!huyu atakuwa ni maskini wa mwisho kweli maana nadhan maskin wa kwanxz ndio balaa
hehehe unaweka ukaueleza umma kuhusu matajiri kibao ambao hawakusoma? manake umejikita katika kudhani kuwa aliesoma ndio tajiri. huyo ni tajiri wa maarifa tu.Umasikini huendana na kipimo cha ujinga
Bila shaka mleta mada unapima uwezo wako wa ubishi upo kwa kiwango gani.pengine ukiulizwa binadamu maskini kuliko wote duniani,moja kwa moja ungevuta picha ya omba omba wa barabarani pengine au maskini walioko vijijini n.k
lakini ukweli ni kwamba hao si maskini kuliko wote duniani. rejea hesabu za hasi na chanya. je kati mwenye 0 na mwenye -10 nani mwenye nyingi?
JEROME KERVIEL (37 )raia wa UFARANSA ndio amethibitika kuwa ndiye binadamu maskini zaidi kwani ana deni la EURO 4.9 BILIONI(TRILIONI ZAIDI YA 10). Deni hilo ni kutokana na hasara aliyoisababishia BENKI ya SOCIETE GENERALE alipoajiriwa kama BANKER ya huko Ufaransa katika mambo ya bet.hivyo mahakama ikamuamuru alipe hasara hiyo.
alitoroka na kuingia italia ambapo baadae alijisalimisha baada ya kuzungumza na raisi HOLLANDE wa ufaransa. alihukumiwa miaka mitatu jela lakini aliachiwa baada ya miezi mi5
View attachment 388020 View attachment 388021 View attachment 388022
Kuna tofauti kati ya kuwa mdeni na umaskini. Udeni unaweza kukupelekea kuwa masikini lakini si umasikini. Mtu anayedaiwa mabilioni ni wazi aliwahi kutawala kama siyo kumiliki mabilioni. Huyo hawezi kukosa mlo wake.kipimo gani umetumia kufikia kusema BILL GATES ndiye tajiri zaidi duniani? ukiweza kujijibu hapo basi unaweza kujijibu swali lako mkuu. come on thinkers