Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
1. Kwenye shida anakuwa mwema, mnyenyekevu,msikivu,mwenye moyo wa kutoa na hujichanganya na watu wa aina mbalimbali.
2. Akipanda daraja tu husahau wale waliomsaidia nyuma mfano shuleni,makazini,maisha ya uswahilini na kadhalika.
3. Akifika level fulani ya juu zaidi ya mwanzo hujiona amefanikiwa saaaana, na kuanza kuchagua watu wa kudili nao kimaisha kwa mfano wenye kazi tu, au wenye pesa, au wenye madaraka, wenye system iliyoeleweka ya juu na kadhalika na kadhalika....
Ubinadamu kaaazi kweli...
Nikifikiria hili sometimes inanipa kichekesho kwelikweli...
2. Akipanda daraja tu husahau wale waliomsaidia nyuma mfano shuleni,makazini,maisha ya uswahilini na kadhalika.
3. Akifika level fulani ya juu zaidi ya mwanzo hujiona amefanikiwa saaaana, na kuanza kuchagua watu wa kudili nao kimaisha kwa mfano wenye kazi tu, au wenye pesa, au wenye madaraka, wenye system iliyoeleweka ya juu na kadhalika na kadhalika....
Ubinadamu kaaazi kweli...
Nikifikiria hili sometimes inanipa kichekesho kwelikweli...