MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,640
- 33,421
Wasalam wanabodi,
Kwanza nikiwa mshabiki wa Simba napenda kuchukua fursa hii kuwatakia heri mchezo wa leo.naamini kwa uzoefu wa Simba na aina ya wachezaji waliopo sasa tunayo nafasi kuwatambia Wanyarwanda leo.
Wanajamvi leo nimesoma makala ktk gazeti la Dimba iliyoandikwa na mwandishi BIN ZUBEIRY nikaona si vibaya na sisi hapa tukaijadili kidogo kuwapa changamoto viongozi wa Simba.Timu ya Simba imezindua kipindi chao kitachokuwa kinarushwa na Clouds Tv kila wiki ambacho ni kitu kizuri lakini kwa timu kama Simba kuwa na Tv show kuna tofauti gani na Joyce Kiria Nkongo mwenye Wanawake Live? Simba ni timu kongwe yenye washabiki mamilioni kwanini wasijaribu kufanya makubwa kama kuomba channel pale startimes wakamiliki TV yao? kama alivyosema mwandishi wa makala kama viongozi na wanachama maarufu wa Simba wana Radio stations na Tv kubwa kwanini Timu yenye jina kubwa kuliko hata majina ya viongozi hao wamiliki kipindi tu? Rage anayo radio station ya kisasa kuliko radio nyingi tu hapa Dar na Hata Abood wa Moro ni hivyo hivyo! Kwanini viongozi wanaogopa kufanya makubwa na kuishia kutaka sifa kwa ku host kipindi tu kama Wanawake Live ya Joyce Kiria? Kwa hili viongozi wa Simba hatuwezi kuwasifu kwa kujaribu kitu kidogo namna hii.Mods naamini kwa maana halisi ya jukwaa hili sijakosea kuirusha huku.
Kwanza nikiwa mshabiki wa Simba napenda kuchukua fursa hii kuwatakia heri mchezo wa leo.naamini kwa uzoefu wa Simba na aina ya wachezaji waliopo sasa tunayo nafasi kuwatambia Wanyarwanda leo.
Wanajamvi leo nimesoma makala ktk gazeti la Dimba iliyoandikwa na mwandishi BIN ZUBEIRY nikaona si vibaya na sisi hapa tukaijadili kidogo kuwapa changamoto viongozi wa Simba.Timu ya Simba imezindua kipindi chao kitachokuwa kinarushwa na Clouds Tv kila wiki ambacho ni kitu kizuri lakini kwa timu kama Simba kuwa na Tv show kuna tofauti gani na Joyce Kiria Nkongo mwenye Wanawake Live? Simba ni timu kongwe yenye washabiki mamilioni kwanini wasijaribu kufanya makubwa kama kuomba channel pale startimes wakamiliki TV yao? kama alivyosema mwandishi wa makala kama viongozi na wanachama maarufu wa Simba wana Radio stations na Tv kubwa kwanini Timu yenye jina kubwa kuliko hata majina ya viongozi hao wamiliki kipindi tu? Rage anayo radio station ya kisasa kuliko radio nyingi tu hapa Dar na Hata Abood wa Moro ni hivyo hivyo! Kwanini viongozi wanaogopa kufanya makubwa na kuishia kutaka sifa kwa ku host kipindi tu kama Wanawake Live ya Joyce Kiria? Kwa hili viongozi wa Simba hatuwezi kuwasifu kwa kujaribu kitu kidogo namna hii.Mods naamini kwa maana halisi ya jukwaa hili sijakosea kuirusha huku.