Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Anasema anataka Sheikh Shariff,Rais wa Somalia,aondolewe madarakani kwa sababu,mwanzo yeye ndiye aliyekuwa mkubwa wa Jihad,lakini sasa amewasaliti wenzake baada ya kushawishiwa na Balozi wa Kenya mwanamke wa Marekani.
Anasema sasa Shariff anatawala kwa kutumia mchanganyiko wa Sheria za Magharibi na sheria za Kislaamu,ambayo ni sababu tosha ya kumuondoa madarakani.
Kwa kifupi,Osama bin Laden anataka kuona sheria ya kweli Somalia,kama ambavyo hapa Tanzania tunataka iwepo sheria,siyo katika vitabu,isipokuwa katika maisha ya watu.
Osama bin Laden ameigeuzia macho Somalia. Jambo gani litatokea sasa?
Anasema sasa Shariff anatawala kwa kutumia mchanganyiko wa Sheria za Magharibi na sheria za Kislaamu,ambayo ni sababu tosha ya kumuondoa madarakani.
Kwa kifupi,Osama bin Laden anataka kuona sheria ya kweli Somalia,kama ambavyo hapa Tanzania tunataka iwepo sheria,siyo katika vitabu,isipokuwa katika maisha ya watu.
Osama bin Laden ameigeuzia macho Somalia. Jambo gani litatokea sasa?