Kuna kampun imeamua kuanzisha bima ya mke/mme,kwa hyo wale wenye wame au wake wanatakiwa wawekeze ili mmoja wenu akifa au kuachana hii bima ikupe mke/mme mwingine.
Wekeza maisha,wekeza mwenzio.
ka sijaoa?naruhusiwa kuwekaga?
ka sijaoa?naruhusiwa kuwekaga?
talaka hiyo sasa makusudi mbona wengi tutaachaNa bima ya talaka je?