Wakuu ni maoni yangu kwamba bima ya gari ni maarufu zaidi kuliko bima ya maafa ya nyumba. Ukilinganisha gari na nyumba naona nyumba ni muhimu zaidi kuliko gari. Ni kwa nini watu wengi hawawekei nyumba zao bima za maafa na hali risk ni kubwa k.m. ukichukulia umeme wa Tanesco na vifaa vya kichina? Kuna mtu anajua the best rate ya bima kwa Tanzania na ni ngapi?