Hawa jamaa hawako siriasi kabisa koz tuko mwengi wenye tatizo hilo lakin hawataki kutushughulikia huku pesa yao wakikata kama kawa.
Huenda mwajiri wako hajazifikisha fomu zako ofisi za NHIF. Lakini zikishafika pale hata hazichukui muda unapata. Nami nilipata tatizo hilo nilipoenda ofisini kwao wakasema fomu zangu hazijafika ikabidi nitoke na mtu wa NHIF mpaka ofisini kwangu na kweli nikazikuta kule