Bima ya afya kwa nini wanafanya hivi?

FadStar

Member
Nov 26, 2011
8
0
Jamani Bima ya Afya wananikera sana yaani toka nimeomba kupewa kadi sasa ni mwezi wa saba hawajanitengenezea wakati kwenye mshahara hela yao wananikata. Mbona huu ni wizi wa mchana kweupe au maombi ya huku mikoani hajashughulikiwi?
 
Hicho kitambulisho wala haitaji kutoa rushwa. Ukichelewa sana ni mwezi mmoja tu.
 
Hawa jamaa hawako siriasi kabisa koz tuko mwengi wenye tatizo hilo lakin hawataki kutushughulikia huku pesa yao wakikata kama kawa.
 
Hawa jamaa hawako siriasi kabisa koz tuko mwengi wenye tatizo hilo lakin hawataki kutushughulikia huku pesa yao wakikata kama kawa.

Huenda maombi yenu hayakufika Makao Makuu. Mbaneni mwakilishi wa Kanda yenu ajiridhishe iwapo maombi yenu yalipelekwa na kupokelewa Makao Makuu ya NHIF.
 
wewe cha mtoto, mimi niliomba kitambulisho nikiwa na employer mmoja ikachukua kama miezi3, wala sikupata, sasa nipo na employer mwingine na ni zaidi ya miezi4, cjapata hata mara moja na ninaomba na kupeleka form mwenyewe. Hawa jamaa cjui wanafanyaje kazi??? Mi nafikiri serikali ingeondoa monopoly wa NHIF, wanakera na kuboa!
 
Huenda mwajiri wako hajazifikisha fomu zako ofisi za NHIF. Lakini zikishafika pale hata hazichukui muda unapata. Nami nilipata tatizo hilo nilipoenda ofisini kwao wakasema fomu zangu hazijafika ikabidi nitoke na mtu wa NHIF mpaka ofisini kwangu na kweli nikazikuta kule
 
Huenda mwajiri wako hajazifikisha fomu zako ofisi za NHIF. Lakini zikishafika pale hata hazichukui muda unapata. Nami nilipata tatizo hilo nilipoenda ofisini kwao wakasema fomu zangu hazijafika ikabidi nitoke na mtu wa NHIF mpaka ofisini kwangu na kweli nikazikuta kule

Mkuu nakubaliana nawe kabisa, wanaochelewesha mchakato mzima waajiri na si NHIF.Tatizo kwenye hizi ofisi zetu hasa za serikali kuna urasimu kubwa hata kwenye mambo madogo madogo.Just imagine mtu anaajiriwa leo lkn mshahara ni mpaka baada ya miezi sita kama si uzembe ni nini? ukija kuchunguza utagundua kuwa document zinachelewa kufika hazina.

Hata hivyo NHIF wameweka utaratibu wa kupata tiba hata kama bado hujapata kadi hivyo nenda kwenye ofisi zao.
 
Back
Top Bottom