New2JF
Senior Member
- Oct 25, 2011
- 123
- 27
Kama Kweli Serikali imetenga hizo hela ili kuajiri madaktari wapya wa nje kutokana na mgomo unaoendelea, hii itamaanisha,
1. Serikali inataka kuwakomoa madaktari kwa kuwanyima billioni 21 lakini kutoa billioni 200 kwa madaktari wa nje. Huu ni UJUHA wa kiwango cha juu kuwahi kutokea ( source- mimi mwenyewe)
2. Ina maana serikali tangu mwanzo wa maandalizi ya bajeti ilijua kuwa madaktari watagoma ndio maana ilishatenga hizo hela kwa ajili ya replacement. Hii mtaumbuka
3. Kwanini serikali inagoma kuongeza mishahara ya madaktari wakati wabunge mishahara yao imetupandishia kutoka milioni 7.5 hadi milioni 10???? bila kuwaomba ( source- mimi mwenyewe nimelipwa hivi)
1. Serikali inataka kuwakomoa madaktari kwa kuwanyima billioni 21 lakini kutoa billioni 200 kwa madaktari wa nje. Huu ni UJUHA wa kiwango cha juu kuwahi kutokea ( source- mimi mwenyewe)
2. Ina maana serikali tangu mwanzo wa maandalizi ya bajeti ilijua kuwa madaktari watagoma ndio maana ilishatenga hizo hela kwa ajili ya replacement. Hii mtaumbuka
3. Kwanini serikali inagoma kuongeza mishahara ya madaktari wakati wabunge mishahara yao imetupandishia kutoka milioni 7.5 hadi milioni 10???? bila kuwaomba ( source- mimi mwenyewe nimelipwa hivi)