Kweli Tanzania imeendelea kuwa shamba la bibi kwani baada ya Idd Simba jana kufikishwa mahakamani na kesi hiyo kuahirishwa alitakiwa kutoa hati yenye thamani ya milioni 500 kama dhamana lakini Idd Simba alivunja rekodi baada ya kutoa hati ya bilioni 8 kama dhamana
swali;Jamani hivi bilioni 8 ni fedha zake halali kweli?
Kama sio kwanini asifunguliwe kesi nyingine ya ufisadi?
Nawasilisha
source ITV
swali;Jamani hivi bilioni 8 ni fedha zake halali kweli?
Kama sio kwanini asifunguliwe kesi nyingine ya ufisadi?
Nawasilisha
source ITV