Kampui ya simu tanzania imeingia kwenye matatizo ya ufisadi baada ya wafanyakazi wake kudaiwa kuiba Tshs Bil 5 zilizotakiwa kupelekwa TRA.
Inasemekana ufusadi huu ulifanywa na wafanyakazi wa ndani wakishirikiana na benki tofauti na mashirika mbalimbali ambao wahasibu wake walikubali kupitishia fedha hizo kwenye akaunti zao kwa ahdi ya kupata mgao.
wadau mpo?
source ,Gazeti la MWANACHI
Inasemekana ufusadi huu ulifanywa na wafanyakazi wa ndani wakishirikiana na benki tofauti na mashirika mbalimbali ambao wahasibu wake walikubali kupitishia fedha hizo kwenye akaunti zao kwa ahdi ya kupata mgao.
wadau mpo?
source ,Gazeti la MWANACHI