Bilioni 30.9 ku upgrade ukumbi wa Bunge

Hivi kwa nini haiwezekani kutokuwachagua tena hawa? manake mwenyekiti wao keshasema wanategemea ushindi wa kishindo mwaka huu.
 
30bn.................!Wow what next,but hey one thing we need to ask ourselves how did we get here in the first place?
Looking back alot of things have taken place where public funds have not been properly used.
One item I'd love to be installed is a mirror infront of each chair so that whenever they are seated they can take a good sincere honest look at their prolonged deliberations........auuuchh!!

Mister-G
 
wangeweka viti 500 kabisa ili tusivunje tena ukumbi, kwa kasi hii lazima tuvunje ukumbi wa bunge kila baada ya miaka 5.
 
Ngoja kwanaza, naona maluweluwe. Twendeni taratibu;
-gharama ya ujenzi wa dude hili ilikuwa ngapi vile? 30.9bn?
-na gharama za ukarabati huu itakkuwa ngapi vile? 30.9bn?
whatever the figgure, lakini nakuambieni sisi wabongo tumerogwa! jiangalie hata wewe nyumbani kwako...........wengine wanamiliki SALON ya mama, miniSUV ya baba, na SUV nyingine ya kupigia bakora mtaani (Wakati wangeweza kutumia gari moja tu kwendea kazn! au walau mbili!!), wakati kuna ndugu zao wanalala kwenye nyumba za nyasi kule kyabakali! Kima cha chini na yeye anannua simu ya mkononi kila miezi miwili, kisa ameona toleo jipya!!!!
Haya mabilioni wananchii wanafahamu yana thamani gani? Labda tuongeee kwa lugha ya mifano ndy waelewe!!
 
Jamani mabilioni mengine yanateketezwa kukarabati ukumbi wa Bunge bila sababu ya maana. Hivi kama huna hata nguo za kuvaa unaweza kuwaza kununua gari? Zaidi ya hayo wanataka waongeze idadi ya wabunge ili waendelee kula kodi zetu! Si wangezipeleka hizo fedha kununua dawa hospitalini, kununua madawati ya wanafunzi wa shule za msingi, nk?
Si wanasema ni asilimia 40 tu ndiyo wanalipa kodi?Na kwamba hao ndiyo wenye kufanya maamuzi?Nchi inahitaji kukombolewa kutoka kwene mikono ya mafisadi wachache,wananchi wasipofanya hivyo na kuweka wawakilishi wa kweli,basi hawana haja ya kuonewa huruma...Kama hutaki dawa kulazimishiwa hakutasaidia kwasababu utaitema tu.
 
6.0 Nchi ya kwanza duniani kuwa na WASWAHILI WENGI

7.0 Nchi ya kwanza duniani ambayo haina Bilioni 6 za kuwaongeza wafanyakazi wake mshahara ili wawe na maisha bora lakini ina Bilioni kama 30 hivi za kuanzisha mikoa mitatu mipya!

 
Back
Top Bottom