Nimejitahidi kuisoma hiyo habari ila sijaona sehemu ilipoandikwa gharama ya ku_upgrade.Hiyo 30.9bn imewekwa kama gharama ya ukumbi huo kwa sasa.Au mimi ndo sijaelewa.Sum1 to help!
Title haiendani na habari yenyewe! Ukumbi ulijengwa kwa TSh 30.9 bn/-, lakini up-grade haijasemwa itagharimu TSh ngapi! Inawezekana ni kwa vijisenti vya TSh 1bn/- (ambavyo Andrew Chenge anaweza kutupatia toka Offshore account yake)! Pressure yote ya nini wajameni?
Sisi ni Mabingwa wa kuweka rekodi katika hali ya umaskini komavu,
1. Nchi ya kwanza Afrika kuialika timu ya brazil kucheza kwenye ardhi ya afrika.
2. Nchi ya kwanza afrika mashariki na kati kuwa na bunge zuri, kubwa la kisasa linalotunga sheria za kizamani.
3. Nchi ya kwanza afrika ambayo ilitoa kiongozi aliyekutana na Raisi Obama.
4. Nchi ya kwanza africa ambayo raisi wa marekani aliishi karibia wiki.
5. Nchi ya kwanza afrika ambayo ina rekodi nyingi lakini wanachi wake ni dhoofu bin hali
Mwenye rekodi nyingine anakaribishwa.
Sisi ni Mabingwa wa kuweka rekodi katika hali ya umaskini komavu,
1. Nchi ya kwanza Afrika kuialika timu ya brazil kucheza kwenye ardhi ya afrika.