Bilioni 18 zateketea sekta ya Uagizaji mafuta

Nchi hii buana, kumbe ndio maana wamiliki vituo vya mafuta hawakawii kuitwa mabilionea..!
 
Hiyo Bilioni 18 ni kwa muda gani ?? Maana ikipigwa hesabu tokea hizo Flowmetres ziache kufanya kazi na hizo pipes zilizo wekwa kinyemela miaka 5 iliyopita unaweza ukazimia
 
Ahsante Prime Minsiter Majaliwa kwa ushirkiano wa TISS yetu Imara!!!!!
asante kutushukuru kwa niaba ya UwT nasema asante sana. Siyo kazi rahis ndugu kulinda maslahi ya nch. Kuna wakati hatulali kabisa.
 
Chunguza kwa makini wakurugenzi hadi wafagizi ndani ya hayo makampuni wakwepa kodi; more than 90% ni mashemeji zake FaizaFoxy.
Lake oil weeeee.....
Utawakuta kina mohamed, husseni kina ali kina muntazeer... Dah!! Hivi bakwatawalipeleka zile risit tra??
 
Uchunguzi uwe makini sana na uanze wakaguzi wa hiyo hizo idara husika,viongozi wa bandari ya Petrolia ( Oil Terminal ), na wafanyi biashara wa petroli. Hapa tumezoea zillions of shillings
Hapa kuna shida kubwa sana
 
Back
Top Bottom