Bilioni 18 zateketea sekta ya Uagizaji mafuta

wisoblowa

Member
Nov 30, 2015
8
16
[h=1]Wadau;

BAADHI ya kampuni za uuzaji mafuta zinatuhumiwa kujihusisha na wizi mkubwa wa shehena yenye thamani ya sh. bilioni 18 ya mafuta yanayoagizwa nchini, imefahamika.

[/h]Uchunguzi umebaini njia kuu mbili zinazotumika kuiba mafuta na kusabababisha hasara kubwa kwa Taifa.

NJIA YA KWANZA

Ni mfumo wa mabomba ya mafuta uliounganishwa na vituo vingi vya kuhifadhi na kusambaza mafuta yaani DEPOTS ambavyo havidhibitiwi na kukosekana kwa miundombinu imara ambayo inaruhusu kuvuja kwa mafuta na wizi mkubwa bila wasimamizi kujua yaani surveyers. Mifumo hii ya mafuta haijawahi kugaliwa kwa miaka mingi na wakala wa vipimo WMA HIVYKUIKOSESHA SERIKALI MAPATO MAKUBWA. Matanki haya ya mafuta hayajafanyiwa CALIBRATION kwa muda mrefu sasa.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya wataalamu, baadhi ya kampuni hizo (majina tunayo) zimekutwa zimeunganisha kiholela mabomba kwa ajili ya kupeleka mafuta kwenye matanki ya kuhifadhia, hivyo kutoa mwanya kwa mafuta hayo kuhujumiwa.

NJIA YA PILI

Matenki mengine yamewekewa valvu ambazo sio sahii na nyingine zimewekewa valvu ambazo ni rahisi kufanya hujuma,? ilieleza sehemu ya ripoti hiyo. Ripoti imebaini zaidi kuwa valvu nyingi zilizofungwa kwenda na kutoka kwenye matanki ya kuhifadhi mafuta sio imara na zimelegezwa kwa makusudi kiasi cha kuruhusu nishati hiyo kuchanganyika na maji na kuwa hilo ni moja ya eneo kunakoibiwa mafuta kwa wingi.


Tunaomba makapuni yafuatayo yachunguzwe kwa ukaribu na ikidhibitika basi hatua stahiki zichukuliwe haraka iwezekanavyo;

1. Lake Oil

2. MOIL

3. Hass Petroleum

4. World Oil


Tunaomba USALAMA WA TAIFA wasaidie kumulika WAHUJUMU UCHUMI hao ili sheria ifuate mkondo wake.

WISOBLOWA
 
Tunataka wazalendo kama nyinyi mulete taarifa zifanyiwe uchunguzi ikigundulika Kuna wizi hatua kali zichukuliwe haiwezekani watu wengine wawe mijizi ya kutupwa wengine tuvuje jasho kutafuta kihalali ,wewe unaesema majungu bila kuchunguza kwanza subiri uje kutumbuliwa jipu ndiyo utajua.
 
Majungu katika ubora wake.....
Amesema wachunguzwe. Sasa wewe umeona wapi hayo majungu. Au wewe ni mmojawapo kati ya wenye hayo makampuni? Hilo neno la majumajunguikalianzishas wa awamu mojawapo kufanikisha mambo zake.
 
Jamani endeleeni kufunguka kuisaidia nchi hii. Kunakambpuni ya nsagali inavituo kahama,bariadi huwa hawalipi kodi au wakilipa basi wanalipa ile wanayotaka.wanauhusiano na mwenyejumba kuu aliyeondoka
 
Umesema sahihi lakini Mbona makampuni sugu hukuyataja yote?? Au mmezidiana Akili ulijuaje bil 18
 
mimi ninachojua ni kuwa mafuta ghafi yanauzwa $ 35.35 kwa pipa.

Hapo ndipo tunapopigwa za mbavu.
 
Hili ni jipu lifanyiwe uchunguzi kama ilivyo kwenye containers. unaweza kukuta mafuta ya transist yanashushwa yanatumika humu humu maana yale yanakua hayajalipiwa kodi. hua najiuliza kwanini kuoka mlandizi mpaka kibaha pana sheli nyingi sana?
 
Japo siko ndani lakini kila kinachosemwa, kisichosemwa, kinachoonekana, kisichoonekana kwa wateja, wauzaji, wasambazaji, waagizaji, wadhibiti kinaashiria uvunjifu mkubwa wa.sheria au haki na ukweli.

Sina haja ya kuwa ndani ya hii system kugundua ubadhirifu na unyonyaji uliopo.

Iko wazi. Namna moja au nyingine.

Billioni 18 au 81 ila wanajichotea
 
Uchunguzi uwe makini sana na uanze wakaguzi wa hiyo hizo idara husika,viongozi wa bandari ya Petrolia ( Oil Terminal ), na wafanyi biashara wa petroli. Hapa tumezoea zillions of shillings
 
Wadau;

BAADHI ya kampuni za uuzaji mafuta zinatuhumiwa kujihusisha na wizi mkubwa wa shehena yenye thamani ya sh. bilioni 18 ya mafuta yanayoagizwa nchini, imefahamika.


Uchunguzi umebaini njia kuu mbili zinazotumika kuiba mafuta na kusabababisha hasara kubwa kwa Taifa.

NJIA YA KWANZA

Ni mfumo wa mabomba ya mafuta uliounganishwa na vituo vingi vya kuhifadhi na kusambaza mafuta yaani DEPOTS ambavyo havidhibitiwi na kukosekana kwa miundombinu imara ambayo inaruhusu kuvuja kwa mafuta na wizi mkubwa bila wasimamizi kujua yaani surveyers. Mifumo hii ya mafuta haijawahi kugaliwa kwa miaka mingi na wakala wa vipimo WMA HIVYKUIKOSESHA SERIKALI MAPATO MAKUBWA. Matanki haya ya mafuta hayajafanyiwa CALIBRATION kwa muda mrefu sasa.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya wataalamu, baadhi ya kampuni hizo (majina tunayo) zimekutwa zimeunganisha kiholela mabomba kwa ajili ya kupeleka mafuta kwenye matanki ya kuhifadhia, hivyo kutoa mwanya kwa mafuta hayo kuhujumiwa.

NJIA YA PILI

Matenki mengine yamewekewa valvu ambazo sio sahii na nyingine zimewekewa valvu ambazo ni rahisi kufanya hujuma,? ilieleza sehemu ya ripoti hiyo. Ripoti imebaini zaidi kuwa valvu nyingi zilizofungwa kwenda na kutoka kwenye matanki ya kuhifadhi mafuta sio imara na zimelegezwa kwa makusudi kiasi cha kuruhusu nishati hiyo kuchanganyika na maji na kuwa hilo ni moja ya eneo kunakoibiwa mafuta kwa wingi.


Tunaomba makapuni yafuatayo yachunguzwe kwa ukaribu na ikidhibitika basi hatua stahiki zichukuliwe haraka iwezekanavyo;

1. Lake Oil - Hii ni kampuni ya kitanzania, wana DEPOT yao huko Kigamboni.

2. MOIL - Hii kampuni inamilikiwa na Mbunge Mmoja wa CCM huko Mwanza. Wana Depot yao Huko Kigamboni

3. Hass Petroleum - Hii ni kampuni inayomilikiwa na wakenya wenye asili ya kisomali. Wana Depot yao Huko Kigamboni.

4. World Oil - Hii ni kampuni inayomilikiwa na shemeji yako Raisi wa Congo Joseph Kabila. Wana Depot yako Huko Kigamboni


Tunaomba USALAMA WA TAIFA wasaidie kumulika WAHUJUMU UCHUMI hao ili sheria ifuate mkondo wake.

WISOBLOWA
Mkuu hiyo Hass pia ina mkono wa mbunge mmoja toka kanda ya ziwa. Ila naamini hizi taarifa zote Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anazo. Magufuli kwa taarifa sijui kama kuna mtu anaweza kimfikia, ukiona anakuambia kitu basi ufahamu anajua zaidi ya unavyojijua wewe.
 
Hili ni jipu lifanyiwe uchunguzi kama ilivyo kwenye containers. unaweza kukuta mafuta ya transist yanashushwa yanatumika humu humu maana yale yanakua hayajalipiwa kodi. hua najiuliza kwanini kuoka mlandizi mpaka kibaha pana sheli nyingi sana?
Mkuu si unaona jinsi makapuni ya mafuta yanavyoota kama uyoga na kila kampuni ina matanker ya kusafirisha mafuta. Kampuni inaanza leo lakini unakuta ina matanker zaidi ya mia. Hapo ndipo ujue kwenye biashara hiyo kuna abnormal super profit na ili upate hiyo profit lazima unafanya magumashi. Hass ina vituo vya mafuta huko Uganda na nasikia na Rwanda. Huenda wanacheza na mavuta ya transit.
 
Mkuu hiyo Hass pia ina mkono wa mbunge mmoja toka kanda ya ziwa. Ila naamini hizi taarifa zote Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anazo. Magufuli kwa taarifa sijui kama kuna mtu anaweza kimfikia, ukiona anakuambia kitu basi ufahamu anajua zaidi ya unavyojijua wewe.
Kwa nini mnashindwa kuwataja majina?

Huu uoga unatoka wapi wakati huo huo tunalalamika viongozi hawachukui hatua wakati hata sisi kutaja tu majina ni kigugumizi!
 
Back
Top Bottom