[h=1]Wadau;
BAADHI ya kampuni za uuzaji mafuta zinatuhumiwa kujihusisha na wizi mkubwa wa shehena yenye thamani ya sh. bilioni 18 ya mafuta yanayoagizwa nchini, imefahamika.
[/h]Uchunguzi umebaini njia kuu mbili zinazotumika kuiba mafuta na kusabababisha hasara kubwa kwa Taifa.
NJIA YA KWANZA
Ni mfumo wa mabomba ya mafuta uliounganishwa na vituo vingi vya kuhifadhi na kusambaza mafuta yaani DEPOTS ambavyo havidhibitiwi na kukosekana kwa miundombinu imara ambayo inaruhusu kuvuja kwa mafuta na wizi mkubwa bila wasimamizi kujua yaani surveyers. Mifumo hii ya mafuta haijawahi kugaliwa kwa miaka mingi na wakala wa vipimo WMA HIVYKUIKOSESHA SERIKALI MAPATO MAKUBWA. Matanki haya ya mafuta hayajafanyiwa CALIBRATION kwa muda mrefu sasa.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya wataalamu, baadhi ya kampuni hizo (majina tunayo) zimekutwa zimeunganisha kiholela mabomba kwa ajili ya kupeleka mafuta kwenye matanki ya kuhifadhia, hivyo kutoa mwanya kwa mafuta hayo kuhujumiwa.
NJIA YA PILI
Matenki mengine yamewekewa valvu ambazo sio sahii na nyingine zimewekewa valvu ambazo ni rahisi kufanya hujuma,? ilieleza sehemu ya ripoti hiyo. Ripoti imebaini zaidi kuwa valvu nyingi zilizofungwa kwenda na kutoka kwenye matanki ya kuhifadhi mafuta sio imara na zimelegezwa kwa makusudi kiasi cha kuruhusu nishati hiyo kuchanganyika na maji na kuwa hilo ni moja ya eneo kunakoibiwa mafuta kwa wingi.
Tunaomba makapuni yafuatayo yachunguzwe kwa ukaribu na ikidhibitika basi hatua stahiki zichukuliwe haraka iwezekanavyo;
1. Lake Oil
2. MOIL
3. Hass Petroleum
4. World Oil
Tunaomba USALAMA WA TAIFA wasaidie kumulika WAHUJUMU UCHUMI hao ili sheria ifuate mkondo wake.
WISOBLOWA
BAADHI ya kampuni za uuzaji mafuta zinatuhumiwa kujihusisha na wizi mkubwa wa shehena yenye thamani ya sh. bilioni 18 ya mafuta yanayoagizwa nchini, imefahamika.
[/h]Uchunguzi umebaini njia kuu mbili zinazotumika kuiba mafuta na kusabababisha hasara kubwa kwa Taifa.
NJIA YA KWANZA
Ni mfumo wa mabomba ya mafuta uliounganishwa na vituo vingi vya kuhifadhi na kusambaza mafuta yaani DEPOTS ambavyo havidhibitiwi na kukosekana kwa miundombinu imara ambayo inaruhusu kuvuja kwa mafuta na wizi mkubwa bila wasimamizi kujua yaani surveyers. Mifumo hii ya mafuta haijawahi kugaliwa kwa miaka mingi na wakala wa vipimo WMA HIVYKUIKOSESHA SERIKALI MAPATO MAKUBWA. Matanki haya ya mafuta hayajafanyiwa CALIBRATION kwa muda mrefu sasa.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya wataalamu, baadhi ya kampuni hizo (majina tunayo) zimekutwa zimeunganisha kiholela mabomba kwa ajili ya kupeleka mafuta kwenye matanki ya kuhifadhia, hivyo kutoa mwanya kwa mafuta hayo kuhujumiwa.
NJIA YA PILI
Matenki mengine yamewekewa valvu ambazo sio sahii na nyingine zimewekewa valvu ambazo ni rahisi kufanya hujuma,? ilieleza sehemu ya ripoti hiyo. Ripoti imebaini zaidi kuwa valvu nyingi zilizofungwa kwenda na kutoka kwenye matanki ya kuhifadhi mafuta sio imara na zimelegezwa kwa makusudi kiasi cha kuruhusu nishati hiyo kuchanganyika na maji na kuwa hilo ni moja ya eneo kunakoibiwa mafuta kwa wingi.
Tunaomba makapuni yafuatayo yachunguzwe kwa ukaribu na ikidhibitika basi hatua stahiki zichukuliwe haraka iwezekanavyo;
1. Lake Oil
2. MOIL
3. Hass Petroleum
4. World Oil
Tunaomba USALAMA WA TAIFA wasaidie kumulika WAHUJUMU UCHUMI hao ili sheria ifuate mkondo wake.
WISOBLOWA