Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,497
- 19,333
Mazee hiyo Kenyan.org ni site tu ya mtu binafsi(mkenya) ambaye ameamua ku-watermark video zake anazozi-upload pale Youtube kwa dhumuni la kutangaza tovuti yake, faida iliyokuwepo ni kutokana na hiyo site kutumia jina la nchi kwa hiyo kuweza kuitangaza Kenya na wakati huohuo kuitangaza tovuti yao.
Sijui kama hiyo ni kazi ya serikali ya Kenya, au ni kazi ya Mkenya binafsi, ila ninalosema ni kuwa kwa kufanya hivi ame-attaract attention ya mtu yeyote atakayependa wimbo huu kuiweka Kenya akilini mwake. Tunahitaji hizi njia unconventional kuitangza nchi yetu.