Ila hapo naona kama bandari au kwenye yadi flani ya makontena, afu bilal na wengine wanamsikiliza jamaa kwa makini, sijui anawachakachua nini hapo....huyo jamaa anaefanana na AL HADAWI ni nani?? wanaomjua watujuze! inawezekana KIMEO kingine kinasukwa hapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.