mashami
Senior Member
- May 8, 2012
- 183
- 27
nimeipenda hii jamani!
katika pitapita zangu mtaani na mitandaoni watu wamekuwa wakifunguka kuhusu mafuso,trekta,malori yanatumiwa na WAOEMU kuwabeba kwenda kwenye mikutano yao..sasa wamesema bila V8,hammer,vx,bmw hawataenda huko jangwani kutokana na mafuso mengi kuwabeba kama mizigo na kuwabananisha sana kiasi cha kukosa hewa....
Mytake; Kwanini chama tawala mnajaribu kushindana na nguvu ya umma sisi huwa tukishatangaziwa mara moja tu inatosha..!!
M4C ITAWAUMBUA
katika pitapita zangu mtaani na mitandaoni watu wamekuwa wakifunguka kuhusu mafuso,trekta,malori yanatumiwa na WAOEMU kuwabeba kwenda kwenye mikutano yao..sasa wamesema bila V8,hammer,vx,bmw hawataenda huko jangwani kutokana na mafuso mengi kuwabeba kama mizigo na kuwabananisha sana kiasi cha kukosa hewa....
Mytake; Kwanini chama tawala mnajaribu kushindana na nguvu ya umma sisi huwa tukishatangaziwa mara moja tu inatosha..!!
M4C ITAWAUMBUA