princess enny
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 1,038
- 379
jamaa mmoja alishuka kwenye ndege bila suruali watu wakamuuliza "vipi mzee?'
akawajibu huku amekasirika"si huyo pilot wenu ana wazimu! mara vaa mkanda mara vua mkanda
nikaamua nivue na suruali kabisa kabla hajasema''
akawajibu huku amekasirika"si huyo pilot wenu ana wazimu! mara vaa mkanda mara vua mkanda
nikaamua nivue na suruali kabisa kabla hajasema''