Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Jangala;
Mimi hii puzzle yako naweza kuiita vicious circle of algorithm/arithmetics. You are abusing watu waliofanya mathematics at higher levels. Hii ni puzzle ya kuwapa watoto wa shule ya msingi per ce. Hata "o" level haistahili kuwepo, si mahala pake!
hivi humu hamna watoto wa shule za msingi? basi wewe weka inayostahili hapa basi, tena ukitueleza unasoma kg ngapi?
hata kwenye baa kuna fanta za watoto pia, huwezi fika ukaanza kulalama hoo, mbona unauza na soda pia? mambo
hapa yanaenda randomly na sio sequentially. angalia yanayokuhusu then act,otherwise just mute.